nssf ubungo wandungu ndo inatisha.
kwanza hapo mapokezi hawana kauli nzuri na wala hawajali wateja wao.
ndaga baba, nitaelekea hapo kesho asubuhi na mapema!mkuu nadhani yameshaanza....
Asante, alitaka alambaje? Ina maana kuna mtu alikuwa na mafao mengi ndo akadai apewe 28M? Au kuna mtu kafariki so yeye ndo akajifanya mrithi? Up date me kama hutojaliKuna quote moja hapo juu ilisema alitaka alambe Mil 28!
jamani mafao yameanza kutolewa niende?? mbona mwanifanyia hivyo mwenzenu? nijuzeni tafadhali!
Yule mama alikua mroho kweli...Nakumbuka jamaa yangu ambaye nae alikua akifuatilia mafao alisema yule danda angelikua mzuri halafu apende hela kihivyo angemumwambia wakutane Magomeni amtere kwanza halafu ammegee mafao....Lakini muonekano wa yule dada ulimtisha.....Nadhani waliobaki watakuwa na nidhamu. Kwa vile muda wa mafao yangu umekaribia tena, nitakuja nicheck kama kuna kimbelembele aliebaki..
Zamani nilikuwa najidanganya kwamba wanaume ndio waroho wa mambo yanayo fanana na haya kumbe hata baadhi ya akina mama nao wamo. Yupo hakimu moja mwanamama aliikalia kwa muda mrefu cheki iliyopelekwa mahakamani kwa ajili ya kuwagawia warithi wake. Alikuwa akitoa visingizio/makosa mbalimbali yasiyokuwa na kichwa wala miguu vilivyoashiria kwamba anataka kitu. Msimamizi wa mirathi alimtolea uvivu mbele ya mahakimu/makarani wake, nanukuu"Wewe mama sikiliza hii hela imetolewa na mwajiri wa marehemu na kuletwa hapo mahakama kwa ajili ya kuwagawia wahusika kwa mujibu ya makubaliano yao. Sasa wewe unavyonizungusha hivi ukitegemea nikupe chochote sahau kabisa , maana hata mimi sipati kitu chochote hapa . Kama unataka fedha za mirathi nenda kamuuue mumeo upate hela za mirathi". Ilikuwa siku ya ijumaa, jumanne ilyofuata hakimu akagawanya hela.