MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Lakini the difference is Komba kila alivyokuwa akizidi kunenepa wanachama walikuwa wakizidi kuongezeka!Sisi watu wa mahesabu tunasema hivi;
Unene wa Nape is indirectly proportional to mahaba kwa CCM.
Yaani anavyozidi kunenepa ndivyo idadi ya wanaCCM inavyopungua.
Kwa lugha nyingine kutakata kwa Nape kunachangia kudhoofika kwa CCM.
Yawezekana kwa kila kilo anayoongeza, CCM inapoteza maelfu ya wanachama.
Bila shaka 2015 atakapomfikia Komba, CCM haitakuwa na mwanachama aliyebaki!
Na hapo Mwigulu bado hajatajwa, kaazi kweli kweli!
Unajua kama angekuwa ni mtoto wa kike, watu wangeshaanza kumnyooshea kidole kapteni John Komba!
Nape na ccm ni kama Kupe na Ng'ombe[SUP]1[/SUP]:
Ng'ombe anachinjwa Kupe hana habari!
Ng'ombe anachunwa Kupe hana habari!
Ngozi inawambwa Kupe hana habari!
Ngozi ikianza kukauka kupe ndo anastuka!
Alaa! Huyu ngombe kumbe keshachinjwa!
[SUP]1[/SUP] Honolulu (2012)
TUMBIRI (PhD, University of HULL, UK)
hahahahahah umeua hapo.....ila nape akienda mombasa vipi?
Si ndiyo hiyo hiyo mpungufu kwa mieziNadhani Ndebile hii ya kwangu ni ya mtoto aliyezaliwa kabla ya wakati (Njiti)
Sisi watu wa mahesabu tunasema hivi;
Unene wa Nape is indirectly proportional to mahaba kwa CCM. Yaani anavyozidi kunenepa ndivyo idadi ya wanaCCM inavyopungua.
Kwa lugha nyingine kutakata kwa Nape kunachangia kudhoofika kwa CCM.
Yawezekana kwa kila kilo anayoongeza, CCM inapoteza maelfu ya wanachama. Bila shaka 2015 atakapomfikia Komba, CCM haitakuwa na mwanachama aliyebaki!
Na hapo Mwigulu bado hajatajwa, kaazi kweli kweli!
Naona hujui kuwa mziki unakodishwa peke yake hapo Bilicanas.
labda kama ni mchanga katika siasa za tanzania
jaribu kukumbuka aliye choma nyuma igunga alikuwa nani ?? Aliye mumwagia tindikali yule kijana alikuwa nani. Hapa nakushauri tumia akili ndogo sana utapata majibu sahihi kuhusu nauaji hayo
siasa siyo ugomvi, vita, fitina mauaji siasa ni kubishana kwa kujenga hoja kwa kuwa mumefilisika mnatupeka kubaya loh !!
Singida Jee?
Kabla ya ujio wenu wa fujo hii nchi ilikuwa kwenye amani na utulivu, siasa zenu maji taka na za kijinga ndio zinapelekea watu kuuwana. Kuna sera ya amani ikawa ya "wapiganaji"?
Mkikosa
hoja mnaanza viroja.
Nyinyi mnaotumia fedha zetu za kodi kujenga nyumba binafsi ya Josephine
na mchumba wake?
Mnaonunuwa fuso mtumba kwa millioni mia tatu na hamsini (350,000,000).
Au hayo hamyajui? Kwi kwi kwi teh teh teh!
Yaani kuna matumizi ya ovyo ya fedha za ruzuku kiwango hicho? Hata
msajili wa vyama hajazuia ruzuku? CAG naye hajaona, Ofisi ya PM nayo je?
Bunge? Jakaya kikwete kimya? Ama kweli serikali ni dhaifu.
​posho za nape zinakutesa