Kumbe chama kimemwambia anatumia pesa nyingi bila mafanikio wakati wanachama wao wanazidi kuhama.
Na mukama kasema amenenepa sana kwa muda mfupi inaonekana haumizwi na wanachama kuhamia CHADEMA.
Kazi ya kufungua mechi za wabunge ni kujijenga yeye na sio CCM waliomtuma
Na mukama kasema amenenepa sana kwa muda mfupi inaonekana haumizwi na wanachama kuhamia CHADEMA.
Kazi ya kufungua mechi za wabunge ni kujijenga yeye na sio CCM waliomtuma