Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Mkikosa hoja mnaanza viroja.
Nyinyi mnaotumia fedha zetu za kodi kujenga nyumba binafsi ya Josephine na mchumba wake?
Mnaonunuwa fuso mtumba kwa millioni mia tatu na hamsini (350,000,000).
Au hayo hamyajui? Kwi kwi kwi teh teh teh!
utoto shida sana yale mafuso yana kila kitu ndani yaani maspika, generator, etc garama ya jumla ndiyo hiyo Hata hivyo si umeona mziki wake unavyo watesa hadi hamlali