big-diamond
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 425
- 559
Mi nadhani muda wa kuwa waoga inabidi uishe!! coz bajeti ya upinzani ndio bajeti ambayo itakomboa mtanzania masikini!!!hivi kwanini tunashindwa kufanya maandamano ya kudai bajeti ya upinzani ipitishwe kama bajeti kuu kwa mwaka huu wa fedha????
Tukiacha shughuli zetu na kwenda Mnazi Mmoja kudai bajeti ya ya upinzani tutapewa!!! wananunua magari ya kifahari, wanataka posho. wanataka pesa ya jimbo, pesa ya mafuta ya gari bado mshahara!!!!
Mi nadhani sisi watanzania tusipojipanga na kulishikia kidete hili suala tutakuwa wajinga kuliko hata huyo Mijengo Iliyopinda!!!
Sante Wazee
Tukiacha shughuli zetu na kwenda Mnazi Mmoja kudai bajeti ya ya upinzani tutapewa!!! wananunua magari ya kifahari, wanataka posho. wanataka pesa ya jimbo, pesa ya mafuta ya gari bado mshahara!!!!
Mi nadhani sisi watanzania tusipojipanga na kulishikia kidete hili suala tutakuwa wajinga kuliko hata huyo Mijengo Iliyopinda!!!
Sante Wazee