Posho na Mishahara ya wabunge...

Posho na Mishahara ya wabunge...

ni wapi hapo, hata hivyo kuna sehemu nyingine hali ni mbaya zaidi ya hii unayoiona hapa. picha zao zipo hata hapa jamvini zilikwishawekwa.
 
waambieni wanawajaza w2 gesi kumbe wenyewe wakipewa pesa wanasahau kuwa watu walipigana na kuksha kwa ajili wao bora ujue unaibiwa kuliko kuibiwa kinafki,,,,,,
 
Mtaandamana kila siku mpaka mfe, kibano pale pale.

Hamuwajui CCM nyie kumbe!!!

Mbona tunawajuwa CCM kuwa ndio Mafisadi wanaoifilisi hii nchi au wewe ni mmoja wao? Nepi anakulipa kiasi gani mpaka uadhirike namna hiyo?
 
Hapo nahisi itakuwa kijiji cha MBEKENJELA, NACHINGWEA - LINDI
 
Bunge_TZ_01.jpg

Wananchi stay tune tunaandaa Maandamano Makubwa ya Kupinga Posho na Bajeti ya Kikwete. Maelekezo yanakuja na tunawasiliana na Bavicha na organizations nyingine Dodoma na mikoa mingine. Haya Maandamano tunataka yawe tofauti na malengo ni Kuwaaibisha kikwete, Mkullo, Ndullu, Makinda na wabunge wa ccm. Umaskini wa Tanzania ndio huu nothing else ....

Kama una Ujumbe kwa Wabunge wa ccm na serikali yao ya kizembe, jiandae kwenda Dodoma na Miji mingine. Hakikisha Ujumbe Wako Unafika Bungeni na Ikulu. We need creativity here ....to send message to the world.

Nyinyi ni akina nani mnaoandaa maandamano? hapo sijaelewa vizuri naomba kueleweshwa. ni posho za wabunge au posho za kikwete?
 
Hapo ni kigoma, picha hii iko humu janvini siku nyingi, tafuta kwenye jamii photoes.
 
Hawana hoja, kwao maandamano imekuwa fashion. Kuandamana ni njia moja ya kuonyesha hisia na kupeleka ujumbe. Jee hao wanaofanyiwa hayo maandamano wanajali? Tafuteni njia nyengine wana CDM lakini kwa mtaji huo, mnajichokesha wenyewe. Kumbe hamuwajui CCM nyie?
 
mpaka bunge la bajeti linamalizika tutakuwa tumekamuliwa sitting allowance kwa wabunge wote kama billion 50 takribani, this is unacceptable, seriously! kwa nchi maskini kama hii, no way.......
 
Kwa hiyo una-support utumiaji wa polisi kuwaua wananchi wenzio kwa sababu ya kupinga haki zao muhimu sio? Kweli tuna wanyama Tanzania sio binadamu. Endeleeni kuwatumia hawa polisi na tukifanikiwa kuwaonyesha hawa polisi jinsi gani mnawatumia kama tools kuwaua ndugu zao, watawageuzia nyie nyie na mtakipata.who Angalia Libya, Egypt na Syria thought we would see this.
tofauti yenu na hizi nchi nyie ni Wakirito
 
wapumbavu wenu wa kila cku watawasupport but watu wenye akili zetu hatuwezi kuyumbishwa maisha yetu na nyie wanasiasa.
 
Wewe acha porojo mnataka tu kugawana pesa zetu (Ruzuku) maandamano sababu ya posho tu mbona wabunge wenu wamechukuwa milioni 90 juzi mbona mlikuwa kimya
sisi wananchi tunawashangaa sana
Porojo inayo serikali yako ya CCM iliyojaa dhuruma kwa wananchi,ANGUKO LENU LIMEFIKA CCM
 
Hivi nyie hamna kazi?


Kazi ziko wapi wakati mmegawiana wenyewe Mafisadi?!! ndio tunataka kulianzisha mbelle kwa mbele mpk kieleweke..na hizo kazi tugawane na sisi tufurahie keki ya taifa..
 
Back
Top Bottom