Nilitanguliza kuomba samahani kwa sababu nilijua hili lingeweza kutokea na ni kawaida. Tujiulize kitu kidogo Mery, Mfumo huundwa na nini?
Bila ya shaka mfumo unaundwa vitu kadhaa zikiwemo taratibu, sera, dhamira n.k Tunaweza kuupinga mfumo kama mfumo, lakini pia tunaweza kupinga baadhi ya ellement za mfumo husika.
Tunapoandamana kupinga unyanyaswaji wa wananchi waishio karibu na migodi tunaupinga mfumo, lakini pia ni katika eneo ama aspects kadha wa kadha! Si busara kuona mambo yasiyowatendea haki wananchi tukayafumbia macho kwa kisingizio kuwa tunachopambana nacho ni system... Si sawa! Jiulize hiki:
Serikali ya ccm imewahi kutoa bonus ya migodi kwa viongozi wake (Reffering Kiwira) Sasa, ikiamua ikasema kila mbunge baada ya kustaafu upewa squre meter 40X40 katika eneo la mgodi, should we expect our leaders to accept kwa dhana kuwa "Kususa" si ufumbuzi?
So wachukue? Nakwambia IKO SIKU WATU WENYE UCHUNGU NA NCHI HII WATAWALAZIMISHA KURUDISHA MALI ZOTE WALIZOZICHOTA KUTOKANA NA KODI NA JASHO LA WATANZANIA... When that happens.... sijui, but I wouldnt wish to see the day ambayo viongozi ninaowaamini pia watapaswa kurudisha!