Popote ulipo Angel Mungu anakuona

Popote ulipo Angel Mungu anakuona

kwa hiyo unamaanisha new single mother mjini,
mabinti acheni kuzaa na wanaume kwa kuangalia kipato wakati mbeleni utakutana na machungu yakutosha!
 
Kwa sababu siyo simu yake.
Ebo umeolewa sio mchepuko, so unahaki ya kushika simu yake na yeye ashike yako. Ila kwangu mie kweli ushikaji wasimu kwa wote sio poa maana utachanganyikiwa mana kila mtu anabiashara zake kazoeana na watu na mengine mengi.

Ila kwangu nitakuwa na simu ya home na ya biashara hii itasaidia privacy kidogo
 
Nipo zangu kipande cha CocoBeach Time hii nakula upepo wa bahari.

Kuna mwamba kaja na mwanamke pamoja na mtoto wa kiume i'm not sure ila wanaonekana kama familia mwamba kakodi boya kaenda kuogelea kamuacha bibie na mtoto.

Dakika tano mwamba karudi kumbe wakati anaenda kuogelea kamuachia simu bibie bad luck kumbe Angel kapiga simu bibie bila hiyana kapokea.

Mwamba concern yake ni kwa nini bibie kapokea simu naye bibie anataka kujua Angel ni nani? Kameibuka kamzozo mwamba kavaa nguo zake kasepa naye bibie kamchukua mtoto wake kasepa kiufupi Angel umeharibu siku ya watu.

KATAA NDOA
KATAA NDOA
PUNYETO FOR LIFE.


Yeye, mke, mume, Angel na wewe wote mna matatizo.
 
Acha umbea mkuu, mahusiano ya watu yanakuhusu nini. Ugomvi wa mtu na mpenzi wake unaanzisha uzi kweli
 
Ebo umeolewa sio mchepuko, so unahaki ya kushika simu yake na yeye ashike yako. Ila kwangu mie kweli ushikaji wasimu kwa wote sio poa maana utachanganyikiwa mana kila mtu anabiashara zake kazoeana na watu na mengine mengi.

Ila kwangu nitakuwa na simu ya home na ya biashara hii itasaidia privacy kidogo
Ndo umerudi kule Kule mwari wangu....kila mtu ashike simu yake. Kupeana nafasi ni muhimu, hakuna mkamilifu lazima kuna vitu usivyovipenda utavigundua na mtaanza kugombana.

Watu wasichojua ndoa haibadilishi tabia ya mtu....so usimlazimishe mtu kukuheshimu, jitahidi uwe na mtu anayekuheshimu....Kama hakuheshimu na wewe usimuheshimu, ukipata upenyo tafuta wa kuheshimiana nae.
 
Ebo umeolewa sio mchepuko, so unahaki ya kushika simu yake na yeye ashike yako. Ila kwangu mie kweli ushikaji wasimu kwa wote sio poa maana utachanganyikiwa mana kila mtu anabiashara zake kazoeana na watu na mengine mengi.

Ila kwangu nitakuwa na simu ya home na ya biashara hii itasaidia privacy kidogo
Hapa tunaongelea kushika simu au kupokea?hivi ni vitu viwili tofauti,unapokea simu ya mwenzako alafu utaongea nini?unajua deals zake zote?
 
Hapa tunaongelea kushika simu au kupokea?hivi ni vitu viwili tofauti,unapokea simu ya mwenzako alafu utaongea nini?unajua deals zake zote?
Nimesema nitapokea wala huwezi nifanya chochote labda nisiwe karibu na wewe. Kama unataka hivyoo basi usiniulize nimetoka wapi ona sawa tu
 
Nipo zangu kipande cha CocoBeach Time hii nakula upepo wa bahari.

Kuna mwamba kaja na mwanamke pamoja na mtoto wa kiume i'm not sure ila wanaonekana kama familia mwamba kakodi boya kaenda kuogelea kamuacha bibie na mtoto.

Dakika tano mwamba karudi kumbe wakati anaenda kuogelea kamuachia simu bibie bad luck kumbe Angel kapiga simu bibie bila hiyana kapokea.

Mwamba concern yake ni kwa nini bibie kapokea simu naye bibie anataka kujua Angel ni nani? Kameibuka kamzozo mwamba kavaa nguo zake kasepa naye bibie kamchukua mtoto wake kasepa kiufupi Angel umeharibu siku ya watu.

KATAA NDOA
KATAA NDOA
PUNYETO FOR LIFE.
ha ha ha angel miguel gamondi
 
Kazi ipoo hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo zangu kipande cha CocoBeach Time hii nakula upepo wa bahari.

Kuna mwamba kaja na mwanamke pamoja na mtoto wa kiume i'm not sure ila wanaonekana kama familia mwamba kakodi boya kaenda kuogelea kamuacha bibie na mtoto.

Dakika tano mwamba karudi kumbe wakati anaenda kuogelea kamuachia simu bibie bad luck kumbe Angel kapiga simu bibie bila hiyana kapokea.

Mwamba concern yake ni kwa nini bibie kapokea simu naye bibie anataka kujua Angel ni nani? Kameibuka kamzozo mwamba kavaa nguo zake kasepa naye bibie kamchukua mtoto wake kasepa kiufupi Angel umeharibu siku ya watu.

KATAA NDOA
KATAA NDOA
PUNYETO FOR LIFE.
Kosa moja halivunji ndoa.. Ndoa ni uwekezaji wa vitu vingi
Muda
Hisia
Mali
Matukio mazuri na mabaya
 
Kwanini asipokee
Hivi unadhani ndoa maana yake ni kuondoa privace ya mwanandoa?
Kuna mmoja, mumewe alikuwa na kampuni. Akapata kazi huko Morogoro. Sasa mtoa kazi akapiga simu kwa mume wa huyo mke saa 2 usiku ili kupata uhakika wa kazi itafanyika kesho yake. Mke kwa kudhani anayepiga ni mchepuko, akapokea na kuanza kuporomosha mitusi..!! IKAWA MWISHO WA KAZI
 
Hivi unadhani ndoa maana yake ni kuondoa privace ya mwanandoa?
Kuna mmoja, mumewe alikuwa na kampuni. Akapata kazi huko Morogoro. Sasa mtoa kazi akapiga simu kwa mume wa huyo mke saa 2 usiku ili kupata uhakika wa kazi itafanyika kesho yake. Mke kwa kudhani anayepiga ni mchepuko, akapokea na kuanza kuporomosha mitusi..!! IKAWA MWISHO WA KAZI
Kwanini hana akili.
Huwezi mrukia mtu kisa ni mwanamke , unatakiwa ukiwa mke wamtu hekika iwepo , sasa unaanza habara yako aseme nzuri tu samahani wewe ninani maana mie mke wa jamaa . Naomba kukufahamu , anasema mie mtu fulani nataka kujua kama kesho anakuja basi sasa kama unakuwa hivyoo maisha hayatoenda .

Ila mie lazima apokee simu yangu na nipokee yake hataki akaishi na mke asiyejua mamlaka yake mke ni mlinzi , mume ni msimamizi wa familia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom