Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,427
- 10,749
Kuna harusi nilihudhulia ya kurwa na doto waliamua kufunga ndoa na wapenzi wao waislamu swaafi. Sasa pale ukumbini ilisomwa sala kabisaa na shehe kupiga marufuku na kulaani unywaji wowote wa kilevi ktk harusi, cha ajabu baada ya dua, watu wakaingia na mabia yao toka nje! Acha watu wagambike sasa! Full mavurugu.
Utakuta mtu ni muislam au mkristu halafu harusi au sherehe inajaa pombe. Mbaya zaid watu wanafunga ndoa Jumamos au Ijumaa, au Alhamis then kesho yake ni siku ya ibada/misa! Je, wadau watahudhuria ibada kweli? Kwa kweli nawapongeza makanisa wanaozuia mipombe ktk harusi, maana inachafua sherehe. Pia ndg zangu waswaha hongereni kwa sheria ya kupinga ulevi hasa ktk sherehe!
Ndoa ni tendo takatifu, sio vizuri kuichanganya na ulevi ambapo shetani atajihudhurisha.
Zipo dhambi nyingi, ila leo nimeiongea hii maana sherehe zinaharibiwa zaidi na ulevi.
Wasalaam!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Utakuta mtu ni muislam au mkristu halafu harusi au sherehe inajaa pombe. Mbaya zaid watu wanafunga ndoa Jumamos au Ijumaa, au Alhamis then kesho yake ni siku ya ibada/misa! Je, wadau watahudhuria ibada kweli? Kwa kweli nawapongeza makanisa wanaozuia mipombe ktk harusi, maana inachafua sherehe. Pia ndg zangu waswaha hongereni kwa sheria ya kupinga ulevi hasa ktk sherehe!
Ndoa ni tendo takatifu, sio vizuri kuichanganya na ulevi ambapo shetani atajihudhurisha.
Zipo dhambi nyingi, ila leo nimeiongea hii maana sherehe zinaharibiwa zaidi na ulevi.
Wasalaam!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums