Pombe zinachafua sherehe hasa za Harusi!

Pombe zinachafua sherehe hasa za Harusi!

aisee...
946969_525160644188301_441365542_n.jpg
Makubwa
 
Mi kwanza sielewagi kwanini watu wanakunywa jmn,mbona chungu..starehe yake siioni..
 
Unataka watu wazima wafanye toto party, mambo ya juice na soda km nyuki!
 
Tyta wewe ni balaa Excel (biashara yako ya kuuza mahindi mabichi na mvua hii sidhani kama inaenda) umeona hii na Tized (kwanza habari yako mafuriko yamekuachia suruali ya kazini) na utafiti (sijui kibanda chake cha simu kimepona na mafuriko haya na Mndengereko (ule mchanga uliokusanya kuuza nina uhakika mafuriko yameurudisha mtoni
kuna tatizo ninalo mkuu kwangu sasa sijui ni langu peke yangu au la wote kuna sometimes huwa mentioning za watu zinachelewa kutokea kwenye notification yangu na hata baadhi ya quotes kwa mfano hii ni ya saa 10 na dk 7 lakini mpk saa 11 nilikuwa online na sikuiona nimekuja kuiona sasa hivi

cc : Moderator & Invisible
 
Last edited by a moderator:
Mi kwanza sielewagi kwanini watu wanakunywa jmn,mbona chungu..starehe yake siioni..

hivi kuna kitu kitamu humu duniani kama konyagi na castle lager ..aisee amna embu jaribu uone mamy tamu hiyo
 
kuna tatizo ninalo mkuu kwangu sasa sijui ni langu peke yangu au la wote kuna sometimes huwa mentioning za watu zinachelewa kutokea kwenye notification yangu na hata baadhi ya quotes kwa mfano hii ni ya saa 10 na dk 7 lakini mpk saa 11 nilikuwa online na sikuiona nimekuja kuiona sasa hivi

cc : Moderator & Invisible

mimo notification zinaonekana ukifungua amna kitu zinakuja kuonekana baada ya one hour nikajua ndo mfumo mpya
 
Last edited by a moderator:
Niko salama kaka. nilikua busy kidogo na kazi ya kuvusha watu, nimepata tuhela twa mvinyo. ntakutafuta Mkuu!!
chagga.jpg
Tyta wewe ni balaa Excel (biashara yako ya kuuza mahindi mabichi na mvua hii sidhani kama inaenda) umeona hii na Tized (kwanza habari yako mafuriko yamekuachia suruali ya kazini) na utafiti (sijui kibanda chake cha simu kimepona na mafuriko haya na Mndengereko (ule mchanga uliokusanya kuuza nina uhakika mafuriko yameurudisha mtoni
 
Tized tatizo wakati umembeba abiria wako ukaanza kuwaza mengine mara uko nae kitandani mara unampapasa mara sijui nini hapo lazima nguvu zikuishie
cc Mndengereko, Excel
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom