cnjona
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 1,027
- 239
Maandiko matakatifu yanasema mpe masikini kilevi asahau shida zake.
maandiko hayo yapo sura gani?
Maandiko matakatifu yanasema mpe masikini kilevi asahau shida zake.
Makubwaaisee...
![]()
Kwa sisi wengine harusi ni kanisani ukumbini kushereheka. Hatufungi ndoa ukumbini.
Suti mpya kuvaliwa siku ya kwanza na kuchanika siku hiyo hiyoaisee...
![]()
kama ulikuwepoila harusi bila kilahuri aisee inaboa kidogo watu wasiwe na akili zao ndo mambo yananoga loh
Za mchina zile fake hu chanika tu hata WKT mtu anavaa usishangae.Suti mpya kuvaliwa siku ya kwanza na kuchanika siku hiyo hiyo
kuna tatizo ninalo mkuu kwangu sasa sijui ni langu peke yangu au la wote kuna sometimes huwa mentioning za watu zinachelewa kutokea kwenye notification yangu na hata baadhi ya quotes kwa mfano hii ni ya saa 10 na dk 7 lakini mpk saa 11 nilikuwa online na sikuiona nimekuja kuiona sasa hiviTyta wewe ni balaa Excel (biashara yako ya kuuza mahindi mabichi na mvua hii sidhani kama inaenda) umeona hii na Tized (kwanza habari yako mafuriko yamekuachia suruali ya kazini) na utafiti (sijui kibanda chake cha simu kimepona na mafuriko haya na Mndengereko (ule mchanga uliokusanya kuuza nina uhakika mafuriko yameurudisha mtoni
Mi kwanza sielewagi kwanini watu wanakunywa jmn,mbona chungu..starehe yake siioni..
kuna tatizo ninalo mkuu kwangu sasa sijui ni langu peke yangu au la wote kuna sometimes huwa mentioning za watu zinachelewa kutokea kwenye notification yangu na hata baadhi ya quotes kwa mfano hii ni ya saa 10 na dk 7 lakini mpk saa 11 nilikuwa online na sikuiona nimekuja kuiona sasa hivi
cc : Moderator & Invisible
mimo notification zinaonekana ukifungua amna kitu zinakuja kuonekana baada ya one hour nikajua ndo mfumo mpya
maandiko hayo yapo sura gani?
Tyta wewe ni balaa Excel (biashara yako ya kuuza mahindi mabichi na mvua hii sidhani kama inaenda) umeona hii na Tized (kwanza habari yako mafuriko yamekuachia suruali ya kazini) na utafiti (sijui kibanda chake cha simu kimepona na mafuriko haya na Mndengereko (ule mchanga uliokusanya kuuza nina uhakika mafuriko yameurudisha mtoni
Niko salama kaka. nilikua busy kidogo na kazi ya kuvusha watu, nimepata tuhela twa mvinyo. ntakutafuta Mkuu!!
View attachment 151484
Mkuu kinalipa sana kibarua hiki naamini ushakusanya za kutoshakwa ajili ya mvinyo
haiwezi ikawa ni mfumo mpya itakuwa kuna tatizo sehemu,mfumo gani ukawa mbovu hivi??