Pombe zinachafua sherehe hasa za Harusi!

Pombe zinachafua sherehe hasa za Harusi!

Kale ka range ka mke wa beckham nako tafadhali.

Hahaha... Bunju kunahusika sana. Naenda na salfeti kama nane ivi za unga wa sembe.
Kule nenda na Title ya land kabisa mwambie unampa kiwanja Bunju huko hapo atakusikiliza na ufadhili wako
Usiwe nawasi wasi mkuu zipo wakati wote
 
Hahahaaa... Ndio tunajitafutia riziki mkuu hivi... kufa kufaana. Hahahaaaaa.
duh haya mkuu na hongera kwa kuwa maarufu
nafikiri anakaribia kuvunja record ya kukaa muda mrefu bila ile kitu aise mpaka akiona jinsia tofauti anaruka ruka maana kichupa kimejaa mbaya
Cc Tized
hahahah hapa naomba nisitie neno nimlindie heshima rafiki yetu Tized
Hahahahahah... Kwa mara ya kwanza kashfa inanivunja mbavu. Etiii naruka ruka.. hhahahahahaaaa... ngoja mafuriko yaishe ntamtafura mrembo aliebomolewa nyumba angalau nimuhifadhi kwangu kidogo nimuone kwa ukaribu zaidi aski ipungue.
kama hali imefikia huko basi kwa kweli hali yako imekuwa mbaya unahitaji tiba haraka sana otherwise unaweza kufanya kitu ambacho hatukuwahi kukitarajia kama unaweza kukifanya
Hahahaaa.. mkuu Mndengereko usimsikilize Mr Rocky, anataka kusema miss chagga hanitoshei eti...
lol!! kumbe sasa hivi upo na miss chagga?? vipi sweetheart wako Karucee maji yamezidi unga ama??
 
Last edited by a moderator:
duh haya mkuu na hongera kwa kuwa maarufu

hahahah hapa naomba nisitie neno nimlindie heshima rafiki yetu Tized

kama hali imefikia huko basi kwa kweli hali yako imekuwa mbaya unahitaji tiba haraka sana otherwise unaweza kufanya kitu ambacho hatukuwahi kukitarajia kama unaweza kukifanya

lol!! kumbe sasa hivi upo na miss chagga?? vipi sweetheart wako Karucee maji yamezidi unga ama??

Afu wewe. Mimi na Tized are sweethearts of another nature.

Labda yeye ataweza kujieleza vizuri.

Lols.
 
Last edited by a moderator:
Pombe haram

Pombe ni haram kwako, Yesu aliitengeneza, Mwamedi pia alikunywa. Utaki tunaweka mistari. Dhambi ni kuzidisha kiwango kama ilivyo kula pilau nyingi kupita kiasi ukaanza kupuu ovyo. Dhambi iko kwenye roho ya mtu na sio vitu yabisi
 
Pombe ni haram kwako, Yesu aliitengeneza, Mwamedi pia alikunywa. Utaki tunaweka mistari. Dhambi ni kuzidisha kiwango kama ilivyo kula pilau nyingi kupita kiasi ukaanza kupuu ovyo. Dhambi iko kwenye roho ya mtu na sio vitu yabisi

Unaongea nini? Au ushakunywa?
 
Hahahaaa. Mkuu nimeshastaafu na hio mambo.. nala zangu pensheni na miss chagga pole pole.
Karucee ni kipenzi changu. Yupo kwenye mchakato wa katiba mpya tafadhali usimwondolee utulivu. Afu Karucee uhakikishe serikali zinabaki mbili au tatu tu. zaidi ya hapo hatutaki. Kama sawa, sema sawa sawa!!!!!!!!
Mr Rocky usiku mwema ndugu yangu. Ulale usingizi wa pono umenipa kashfa za kutosha. Cheers my friends!!!!!!!

duh haya mkuu na hongera kwa kuwa maarufu

hahahah hapa naomba nisitie neno nimlindie heshima rafiki yetu Tized

kama hali imefikia huko basi kwa kweli hali yako imekuwa mbaya unahitaji tiba haraka sana otherwise unaweza kufanya kitu ambacho hatukuwahi kukitarajia kama unaweza kukifanya

lol!! kumbe sasa hivi upo na miss chagga?? vipi sweetheart wako Karucee maji yamezidi unga ama??
 
Last edited by a moderator:
aisee...
946969_525160644188301_441365542_n.jpg

Wako kama wanacheza nyimbo za kihaya...maria salome, kaisiki nk
Baada ya hapo ni katerero kwa kwenda mbele, chezea pombe wewe


 
Weka, si unatoa kichwani mwako? Weka tu


Qur'an 4:43''Do not approach prayers while you are drunk''
Qur'an 2:219 ''They ask you concerning alcoholic drinks and Games of Chance, Say: In them are harm and goods for men, but their harm exceeds their good effects.''

Muslim-3753: ''We were with the Prophet of Allah, and He was thirsty, and a man said: O prophet of Allah, Do you want to drink wine? Prophet of Allah said: Yes.The Man went to get the wine

Muslim-3753: ''We were with the Prophet of Allah, and He was thirsty, and a man said: O prophet of Allah, Do you want to drink wine? Prophet of Allah said: Yes.The Man went to get the wine

Kwa upande wa bible soma Yohana 2:1-11, kwenye harusi ya cana
 
Hahahaaa. Mkuu nimeshastaafu na hio mambo.. nala zangu pensheni na miss chagga pole pole.
Karucee ni kipenzi changu. Yupo kwenye mchakato wa katiba mpya tafadhali usimwondolee utulivu. Afu Karucee uhakikishe serikali zinabaki mbili au tatu tu. zaidi ya hapo hatutaki. Kama sawa, sema sawa sawa!!!!!!!!
Mr Rocky usiku mwema ndugu yangu. Ulale usingizi wa pono umenipa kashfa za kutosha. Cheers my friends!!!!!!!

rudisha ile avatar ya mwanzo bwana
 
Usiulize nani?kamwaga pombe yangu angiza nyingine
 
Hahahaaa. Mkuu nimeshastaafu na hio mambo.. nala zangu pensheni na miss chagga pole pole.
Karucee ni kipenzi changu. Yupo kwenye mchakato wa katiba mpya tafadhali usimwondolee utulivu. Afu Karucee uhakikishe serikali zinabaki mbili au tatu tu. zaidi ya hapo hatutaki. Kama sawa, sema sawa sawa!!!!!!!!
Mr Rocky usiku mwema ndugu yangu. Ulale usingizi wa pono umenipa kashfa za kutosha. Cheers my friends!!!!!!!
sawa sawa sweetheart.

Naungana na miss chagga kukuomba urudishe avatar ya mwanzo.
 
Last edited by a moderator:
doh mbona na mimi nilikuwa na mpango nibadilishe avatar yangu isije mkanishambulia kama mlivyomshambulioa @ytized sasa au nikupe kazi hiyo ya kunichagulia avatar wewe???

Sijui kwanini avatar ikibadilika huwa ni kama identity imebadilika?

Its like a different person.

Don't change bwana.
 
Back
Top Bottom