Pombe zinachafua sherehe hasa za Harusi!

Pombe zinachafua sherehe hasa za Harusi!

doh mbona na mimi nilikuwa na mpango nibadilishe avatar yangu isije mkanishambulia kama mlivyomshambulioa @ytized sasa au nikupe kazi hiyo ya kunichagulia avatar wewe???

hiyo yako inakufaa usibadili bwana mimi maua napenda naweka kila siku so uwezi ona sura ya mtu hapo
 
na utakuta watu wengine wanadiriki kusema sherehe haijapendeza kama hakunywa pombe
 
Kuna harusi nilihudhulia ya kurwa na doto waliamua kufunga ndoa na wapenzi wao waislamu swaafi. Sasa pale ukumbini ilisomwa sala kabisaa na shehe kupiga marufuku na kulaani unywaji wowote wa kilevi ktk harusi, cha ajabu baada ya dua, watu wakaingia na mabia yao toka nje! Acha watu wagambike sasa! Full mavurugu.
Utakuta mtu ni muislam au mkristu halafu harusi au sherehe inajaa pombe. Mbaya zaid watu wanafunga ndoa Jumamos au Ijumaa, au Alhamis then kesho yake ni siku ya ibada/misa! Je, wadau watahudhuria ibada kweli? Kwa kweli nawapongeza makanisa wanaozuia mipombe ktk harusi, maana inachafua sherehe. Pia ndg zangu waswaha hongereni kwa sheria ya kupinga ulevi hasa ktk sherehe!
Ndoa ni tendo takatifu, sio vizuri kuichanganya na ulevi ambapo shetani atajihudhurisha.
Zipo dhambi nyingi, ila leo nimeiongea hii maana sherehe zinaharibiwa zaidi na ulevi.
Wasalaam!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Mbona ni mehudhuria harusi nyingi tu zenye pombe lakini sijawahi kutana na mkasa kama huu?

Tatizo siyo pombe, bali tatizo ni mtumiaji. Kama mtu anaiparamia pombe kupita kiwango ambacho anaweza kustahimili, lazima atalewa na kufanya mambo ambayo hangeweza kufanya akiwa katika hali ya kawaida.

La maana ni kushauri wanywaji kutumia pombe kwa kiasi na si vinginevyo.

Hata chakula, mtu ukizidisha kuna uwezekano wa kuvimbiwa.
 
hiyo yako inakufaa usibadili bwana mimi maua napenda naweka kila siku so uwezi ona sura ya mtu hapo
duh haya bana tatizo kuna baadhi ya watu wananidefine kutokana na avatar yangu wanahisi ni babu teh teh na mtu mmoja very conseravative
 
Sijui kwanini avatar ikibadilika huwa ni kama identity imebadilika?

Its like a different person.

Don't change bwana.
haya han sibadili tena ila hata wewe kidogo pia ulitupa shida ulivyobadilisha na kama hiyo ndo kesi sijui Excel anaebdailisha kila siku unamweka fungu gani
 
Last edited by a moderator:
Unataka watu wazima wafanye toto party, mambo ya juice na soda km nyuki!

Kuna sista yangu mmoja aliwahi kuniambia maneno kama haya kwenye harusi moja hivi,eti ''unakunywa sparleta harusini utatujazia nyuki'' mi nkanyamaza miaka miwili baadae nikasikia ameokoka na anywi tena pombe,you just wait..
 
Kuna harusi nilihudhulia ya kurwa na doto waliamua kufunga ndoa na wapenzi wao waislamu swaafi. Sasa pale ukumbini ilisomwa sala kabisaa na shehe kupiga marufuku na kulaani unywaji wowote wa kilevi ktk harusi, cha ajabu baada ya dua, watu wakaingia na mabia yao toka nje! Acha watu wagambike sasa! Full mavurugu.
Utakuta mtu ni muislam au mkristu halafu harusi au sherehe inajaa pombe. Mbaya zaid watu wanafunga ndoa Jumamos au Ijumaa, au Alhamis then kesho yake ni siku ya ibada/misa! Je, wadau watahudhuria ibada kweli? Kwa kweli nawapongeza makanisa wanaozuia mipombe ktk harusi, maana inachafua sherehe. Pia ndg zangu waswaha hongereni kwa sheria ya kupinga ulevi hasa ktk sherehe!
Ndoa ni tendo takatifu, sio vizuri kuichanganya na ulevi ambapo shetani atajihudhurisha.
Zipo dhambi nyingi, ila leo nimeiongea hii maana sherehe zinaharibiwa zaidi na ulevi.
Wasalaam!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

hapo ndiyo umechemka, pombe yenyewe ni utukufu, ukienda madhabahuni hauwezi kuikosa siku ya misa.
 
Dawa usichangishe tuu. Mimi sikuweka Pombe nilikataa hata champaign. Harusi za ulevi ni karaa tupu.
 
Back
Top Bottom