wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,402
Arusha unywaji wa beer uko chini sana vijana wanapiga ivi vipombe vya 2000 au 2500 Ajabu sasa alcohol volume 40% niliwahi test diamond na Rivella ni hatari sana viliniwasha balaa ila chap tu vinatoka pia mwilini ukipigwa na baridi
Alch 40% Mara 4.... Ni hatari. Rivela kitoko c mchezo....


