Ndo hekima nazitoa hapa lakini hamtaki kusikia😄Miaka hiyo tunahitaji hekhima yako tu mkuu mana kufika hapo ni jambo kubwa sana na bado una afya njema SHUKURU.
Huyu mwenzetu ameshastarehe sana na majukumu yakikuuanza unatakiwa kupunguza gharama za starehe taratibuMkuu unapotosha vijana😂
Umemaliza kila kitu mama.Mimi nakunywa kila siku kakini siendi kunywa bar, badili lifestyle ili utumie pesa kidogo kwenye kunywa kuliko kumaliza pesa kwa marafiki.
AiseeUkiacha pombe unapaswa ukajiandikishe chama cha wacheza bao kijiweni.Wasimangaji hao balaa halafu vichawi.
ChaiAfadhali nyinyi aisee mimi nikinywa pombe nakuwa na sifa za kijinga kabisa lazima niache keep change na keep change si chini ya laki 1.
Asubuhi naaza kujuta kabisa shenzi zangu.
Barmaid wakiona gari yangu tu wanaanza kuikimbilia kama kumbikumbi wanaacha kuhudumia wateja wengine wanakuja kwangu basi bichwa linavimba kwa sifa.
Band za wacongo wakija kutumbuiza lazima waniite jina langu Kama wanavyoitwa papaa msofe au ndama mtoto wa ng'ombe naenda kuwatupia laki mbili .
Nikiamka asubuhi najuta mno ,Zitakuja kunifirisi kimasihara
Nyinyi mnaoishi kwa uchawa lazima muone chaiC
Chai