akili zako ni finyu sana, kwani jina ni kigezo??
King of MMU ni MBU, jamaa yuko smart sana na hua anashusha point za nguvu hapa MMU, namkubali Mbu hapa MMU kuliko the Boss
hata aliyeleta kondom alipingwa vikali
lakini haimaanishi hakukuwa na Ukimwi.
'The Boss for responsible people'
Kama ulielewa, ule uzi ilikuwa 'doing the wrong thing right'
hata ukatae vip, nyumba ndogo ni atizo ambalo lipo kwenye jamii yetu.
mkuu kweli wa bongo noma walipiga kula wachache watakaoponda matokeo wako milioni
Una sababu za kisayansi ni kwa nini watu wengi hawakupiga kura licha ya kwamba thread ilikuwa viewed na watu wengi zaidi?mkuu kweli wa bongo noma walipiga kula wachache watakaoponda matokeo wako milioni
Una sababu za kisayansi ni kwa nini watu wengi hawakupiga kura licha ya kwamba thread ilikuwa viewed na watu wengi zaidi?
- Dharau; kwamba ya kazi gani?
- Kutoridhika na list ya watu walowakilisha hapo?
- Kukata tamaa kua hata akipiga yule anaemtaka ashinde aonekana nyuma hivo haina haja..
- Kuona kama ni mchezo wa kijinga wala haina Mantink.
- Kutojua namna ya kupiga, na hawezi uliza kwa aibu.
- Kutojua kua kupost tu post kua wamkubali mtu haina mana umepiga.
- Kuridhika kua yule ambae anampenda yupo mbali hivo sio lazima kupiga for ni dhahiri kadhida.
- Nature ya kukosa ushirikiano.
- Mwingine anaogopa anahisi mda wake wa bundle utapungua endapo atapiga na inabidi atumie vizuri.
- Mwingine aamini tu mashindano haya for whatever reasons.....
Nimejibu kwa niaba ya Ndetichia maana tupo kamati moja, For starters zatosha nilizo taja?
Fafanuwa mkuu, hii ni open forum weka wazi alichofanya AshaDii kwa Lizzy kwa faida ya Members wote.Kwa heshima na taadhima The Boss fanya kama alivyofanya AshaDii kwa Lizzy, Mbu is our King :lol::lol::lol: