Polls: King of MMU 2011

Je, Ni Nani Unampigia Kura Kuwa "JF King of MMU 2011"?

  • Mbu

    Votes: 28 43.1%
  • The Boss

    Votes: 37 56.9%

  • Total voters
    65
  • Poll closed .
Jinsi MBU alivyo 'humble'
inakuwa ngumu mno kwangu kusema chochote
all in all Mbu knows nilishiriki kum nominate na jinsi ninavyomkubali
at the same time Kongosho na wengine sitaki kuwa dissapoint..so acha tu shindano liendelee
we are both winners including all mmu members..

mpe mbu huku halafu kule kwa man of jf umpe babu itakuwa fair kabisa
 
Jinsi MBU alivyo 'humble'
inakuwa ngumu mno kwangu kusema chochote
all in all Mbu knows nilishiriki kum nominate na jinsi ninavyomkubali
at the same time Kongosho na wengine sitaki kuwa dissapoint..so acha tu shindano liendelee
we are both winners including all mmu members..

Dah! hili speech kuliko la ban ki moon. Unajua bana kusema kweli nyote wawili mko juuu sana tatizo linakuja inabidi tuchague mmoja. Lakini kama ulivosema hapa MMU wote tunashinda haijalishi Mbu wala Ze boss
 
Jinsi MBU alivyo 'humble'
inakuwa ngumu mno kwangu kusema chochote
all in all Mbu knows nilishiriki kum nominate na jinsi ninavyomkubali
at the same time Kongosho na wengine sitaki kuwa dissapoint..so acha tu shindano liendelee
we are both winners including all mmu members..

ila mimi kura yangu unayo mkuu
 
Ndo maana tumeshauri ama huu uchaguzi usifanyike kabisa au tukubaliane, mmoja awe wa 2011 na mwingine wa 2012....

Hii kamati ya Superman imekosa busara za 1947....Kuna watu hawawezi kupambanishwa bwana....!!

Babu DC!!

....hahaha, am humbled kamanda. Pamoja daima.

Nawatakia kura njema, na wiki njema ijayo :poa
 
....hahaha, am humbled kamanda. Pamoja daima.

Nawatakia kura njema, na wiki njema ijayo :poa


Kaka,

Babu keshamaliza kuishawishi akili yake ya 1947 kwamba mwaka huu MMU haina kura kwa sababu Superman katuletea wagombea ambao hawawezi kupambanishwa...

Enzi zetu tungesema anataka kutufarakanisha....

I am not voting, unless .....................

Babu DC!!
 
Tena raha kweli nikutane na wewe kwenye chao cha kike, hata nikisimama wima ntamaliza haja yangu.

Afu huyo mbu alikutafuna sana nini, naona malaria imepanda.

Hebu we mwenyewe kipipi jiulize, mtu ajiiite MBU na mtu ajiite The Boss nani ataheshimika hapo.

Wewe huoni mimi kila mmoja ananita fazaa, hata kama sio baba yake :poa

hahahahaaa fazaa basi.....tuliza nafsi. Pole sana...kwa mkasa wa Boss!! Nini wewe, The Boss jina tu tena full masharubu! Mbu ndio mfalme mwenyewe, kwa mapana na marefu!!!! Hapa hakuna malaria arifu, vote for Mbu only.....hata kama huna watoto kaazime majukuu!!! Boooooo - kwa melody sound ya kisambaa!!! LOL
 
Back
Top Bottom