JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Vijana I4 kati yao 6 wakitokea Dar es Salaam wanaodaiwa kujihusisha na uhalifu kwa kutumia silaha za jadi maarufu kwa jina la Panya Road wamefikishwa Mahakamani wakituhumiwa kupora na kujeruhi watu kadhaa Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibu, ACP Richard Thadei Mchomvu amesema kuna makundi mawili ya Panya Road na yote wamefanikiwa kuyadhibiti, mbali na waliofikishwa Mahakamani kuna wengine wanane wanashikiliwa kwa uchunguzi zaidi.
Chanzo: Azam TV
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibu, ACP Richard Thadei Mchomvu amesema kuna makundi mawili ya Panya Road na yote wamefanikiwa kuyadhibiti, mbali na waliofikishwa Mahakamani kuna wengine wanane wanashikiliwa kwa uchunguzi zaidi.
Chanzo: Azam TV