live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 792
- 1,269
Hili janga ni kubwa kuliko mnavyofikiria kila siku kuna watu wanauliwa, wanatiwa vilema na kuibiwa mali zao lakini bado hakuna hatua madhubuti zilizo chukuliwa ili kudhibiti hilli janga
Mpaka sasa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya zake wameshindwa kuweka network ya mawasiliano ili ikitokea wamevamia sehemu wakamatwe kiurahisi
Kwa mfano Leo hii panya road wanavamia nyumba ya jirani inasemekana huwa wanakuwa wengi hivyo itakuwa sio rahisi majirani kutoka na kuenda kutoa msaada
Msaada pekee ambao ungeweza kutolewa na jinarani ni kuwasiliana na vikosi vya polisi vilivyo karibu ili wawahi eneo la tukio kuwakamata hao panya road
Kwa maelezo ya waliovamiwa na panya road inathibishisha kabisa panya road wakiingia katika nyumba wanakaa kati ya dakika 20 hadi 30 huo mda unatosha kabisa kuwapigia polisi na kuwahi eneo la tukio ila mpaka sasa hizo namba hakuna
Jana mkuu wa mkoa umesema Dar imeongezewa polisi 300 sasa wataisadia vipi jamii wakati hakuna mawasiliano yoyote yanayounganisha hao polisi na wananchi kipindi cha usiku
Mpaka sasa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya zake wameshindwa kuweka network ya mawasiliano ili ikitokea wamevamia sehemu wakamatwe kiurahisi
Kwa mfano Leo hii panya road wanavamia nyumba ya jirani inasemekana huwa wanakuwa wengi hivyo itakuwa sio rahisi majirani kutoka na kuenda kutoa msaada
Msaada pekee ambao ungeweza kutolewa na jinarani ni kuwasiliana na vikosi vya polisi vilivyo karibu ili wawahi eneo la tukio kuwakamata hao panya road
Kwa maelezo ya waliovamiwa na panya road inathibishisha kabisa panya road wakiingia katika nyumba wanakaa kati ya dakika 20 hadi 30 huo mda unatosha kabisa kuwapigia polisi na kuwahi eneo la tukio ila mpaka sasa hizo namba hakuna
Jana mkuu wa mkoa umesema Dar imeongezewa polisi 300 sasa wataisadia vipi jamii wakati hakuna mawasiliano yoyote yanayounganisha hao polisi na wananchi kipindi cha usiku