Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Panya Road, vibaka, na wauza madawa ya kulevya pamoja na wavuta shisha wa mkoa wa Dar es Salaam hawatapenda ujio wa mkuu wa mkoa mpya Albert Chalamila kwani hapendi ujinga na hatawavumilia kabisa kwa hiyo wajiandae.
Mitaa ya Ufipa maeneo ya manyanya mateja walikuwa wameanza kumea kwa kasi lakini sasa wajiandae kupukutishwa.
Miaka miwili ya Rais Samia imepita lakini miradi mingi ya mkoa wa Dares salaam inasuasua, hakuna flyover hata moja iliyokamilika kwa sababu wakandarasi wa mkoa huu hawasimamiwi vizuri, barabara hazijengwi tena kwa kasi kama ilivyokuwa zamani.
Mitaa ya Ufipa maeneo ya manyanya mateja walikuwa wameanza kumea kwa kasi lakini sasa wajiandae kupukutishwa.
Miaka miwili ya Rais Samia imepita lakini miradi mingi ya mkoa wa Dares salaam inasuasua, hakuna flyover hata moja iliyokamilika kwa sababu wakandarasi wa mkoa huu hawasimamiwi vizuri, barabara hazijengwi tena kwa kasi kama ilivyokuwa zamani.