Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Maushungi anawaacha kina Majaliwa wamkalie kichwani .. wale ni meko pure roho mbaya kwenda mbereeImeshamshinda
Maushungi anawaacha kina Majaliwa wamkalie kichwani .. wale ni meko pure roho mbaya kwenda mbereeImeshamshinda
Zi ndani ya mioyo ya wanaoipenda TZ kiuweli.Wanatafuta nyaraka za katiba mpya ? 🤣🤸🐒
Chadema ni sauti ya watu kusimamia hakiKwani CHADEMA ni kitu Gani..?! Mbona wanahangaika nao Sana?!
Imshinde mara ngapi? Unadhani yanayotendeka hayana baraka zake?Mama akiacha hii hali Iendelee, nchi itamshinda huko mbeleni. Asiwategemee sana watu wa Magufuli. Wengi wao hawana uwezo... Waliwekwa kwenye hizo nafasi kutokana na utii wao wa kupokea na kutekeleza maagizo toka juu.
Baada ya ziara ya Rwanda, huo ni mwanzo tu
Mama uwezo wake wa kufikiri ni mdogo kuliko wa babu tale,hiyo nafasi ni bahati ilimpitia...2025 anarudi mchambawima kulea wajukuu wa mcherengwaMama alkiwa ndiye amiri jeshi mkuu ajifunze kuchagua maneno pale anapongea mbele ya hadhara. Maneno yake ya kutamka "baadhi ya watu kutaka kuleta chokochoko" tafsiri yake ndiyo hii tunaiona kupitia utekelezaji kwa vitendo wa jeshi la polisi.
Ameshatota kabla hata ya halftime.Mama anaupiga mwingi sana
Dicteita kaisha ondoka, Sasahivi Watanganyika wanaishi kwa raha,labda Matanga na Sukuma gang, ndio wanaoteseka 😁😁😁 tulisema humu msitukane mamba Kabla haujavuka mto
Dicteita kaisha ondoka, Sasahivi Watanganyika wanaishi kwa raha, labda Matanga na Sukuma gang ndio wanaoteseka 😃😄😀 tulisema humu kuwa,usitukane mamba Kabla haujavuka mto mlitukana matusi ya nguoni Magufuri hata ambao hajatenda Mradi haonekane Magufuri afai.Mungu akaona isiwe tabu kamwondoa kaleta mlio mtaka,naye mnaanza kulialia 😁😁😄😄nilisema mda utafika tu mtakiri kuwa Magufuri alikuwa Rais bora kuliko huyu mliyekuwa mnashangilia
Wanatafuta nyaraka za katiba mpya maana kikundi fulani cha watu wa CCM kikisikia katiba mpya kinachanganyikiwa kinatumia plc kulinda maslai yao binafsi
Hawana uwezo na waliwatuliza mkatulia tuliiii...Mama akiacha hii hali Iendelee, nchi itamshinda huko mbeleni. Asiwategemee sana watu wa Magufuli. Wengi wao hawana uwezo... Waliwekwa kwenye hizo nafasi kutokana na utii wao wa kupokea na kutekeleza maagizo toka juu.
Tatizo huyu mwanamke yuko duni kiuongozi, hafai kabisaNchi kama nchi tunasonga kwa kasi sana kuelekea shimoni
Kama watu wametulia mbona kesi zinahamishiwa mtandaoni ....!?Hawana uwezo na waliwatuliza mkatulia tuliiii...