peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,775
- 21,336
Yanayofanyika Tanzania,hutaamini Kuna vyuo vikuu vya kuzalisha wasomi. Utadhani nchi Ina watu wasio soma wote.
Yanayofanyika Tanzania,hutaamini Kuna vyuo vikuu vya kuzalisha wasomi. Utadhani nchi Ina watu wasio soma wote.
Kumbe wanakamata gaidi halafu hawana ushahidi?Kwa hiyo chochote ambacho kingepatikana kingekimbizwa DSM kama ushahidi? Kweli unaweza ukawa ni chizi msafi unaeongea na umma kumbe mafaili yako (ya kupokelea mishahara) yametunzwa sehemu tu.
Weye unapaswa utulie hivyohivyo hadi ujikute umebaki peke yako.Hiyo itakusaidia sana kuyasoma mapigano.Nitaunga mkono harakati iwapo zitahusu mapqmbano ya kweli sio haya kupigwa mmenyamaza
Hawa ndio magaidi sasa😅😅
Unaomba ushauri kwa Mtanzania aliyeshiba mihogo?Ukilianzisha ndiyo wa kwanza kusema tulijua tu hata silaha za moto wanazo.Fanya uwezalo.UNATUSHAURI NINI..?😁
Yeye mama aliwekwa na nan? unajua unamtukana mama hapa? Hukumsikia akisema yeye na Magufuli ni kitu kimoja? Kama una ushauri nenda kwenye hoja. Kuanza kukandia mtu ama kusifia mtu bila sababu na hakuna hoja ya msingi unayoitoa, huwa ni kwa watu wanafiki wanaotafuta namna ya kukubalika kwa jinsi isiyvo halali ili apate faida binafsi.Mama akiacha hii hali Iendelee, nchi itamshinda huko mbeleni. Asiwategemee sana watu wa Magufuli. Wengi wao hawana uwezo... Waliwekwa kwenye hizo nafasi kutokana na utii wao wa kupokea na kutekeleza maagizo toka juu.
Wakukumbushwa si polisi wote.Ni Sirro.Huwa anajisiifu mara alisoma sijui seminari akawa anakaa dawati moja na padre nani sijui!Sasa wale ambao mpaka leo,Papa huyu hapa wao pembeni yake sijui watasemaje?Anyway,hata Magufuli nasikia "alipita" seminari.Sirro akumbushwe impacts za ujinga anaoupigia chepuo.Hautomlipa.Anafanya uhalifu tu.Tumeichoka aman sasa tunatafuta mifarakano kwa nguvu ila niwakumbushe nyie polis ni wachache sana kuna siku mtayajutia matendo yenu.
Pale polishsishiemu wanapoacha majukumu yao na kutumika kisiasa ni hatari sana na amin nawambieni mwezi ujao hautafika mtasikia kitu huko , mkuu wao mwenyewe kapaukaaaa japo ana kilamkitu na chanjo kachoma , take my Thread
Mama na Sirro hao, wameshashindwa siku 100 baada ya kuchanua
Mama uwezo wake kma lusinde au msukuma,ni mweupe kichwaniMama akiacha hii hali Iendelee, nchi itamshinda huko mbeleni. Asiwategemee sana watu wa Magufuli. Wengi wao hawana uwezo... Waliwekwa kwenye hizo nafasi kutokana na utii wao wa kupokea na kutekeleza maagizo toka juu.
Kweli alifanikiwa kuunda kikosi kikubwa zaidi AFRIKA, cha kumlinda yeye wakati wote mpaka alipoingia malaloniMbona haikumshinda Magu ambae nae alikuwa anafanya hivi hivi
Mama Maushungi anaitafuta The Hague kwa nguvu zote.. kheee