magafumukama
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 743
- 198
Police wetu wana inteligensia Kali sana halafu wanawapenda na kuwajali chadema kuliko hata vituo vyao.hongereni sana
hizi sababu kama ingekuwa zinatolewa kwenye usaili wa kazi kamwe huwezi kuajiriwaBaada ya ukimya mwingi hatimae polisi mkoani Dodoma wametoa sababu "nzito" za kuzuia mahafali ya CHASO-CHADEMA mjini Dodoma.
Polisi wanasema hivi karibuni Dodoma walifariki watu nane kwa kilichodaiwa kula ugali wenye sumu,hivyo walihofia tukio kama hilo kutokea kwenye mahafali ya CHADEMA.
Hongereni Polisi kuokoa maisha ya wana CHADEMA....Haah haah.Tunawasubiri Polisi Moshi wajibu mashambulizi ya wenzao wa Dodoma
Baada ya ukimya mwingi hatimae polisi mkoani Dodoma wametoa sababu "nzito" za kuzuia mahafali ya CHASO-CHADEMA mjini Dodoma.
Polisi wanasema hivi karibuni Dodoma walifariki watu nane kwa kilichodaiwa kula ugali wenye sumu,hivyo walihofia tukio kama hilo kutokea kwenye mahafali ya CHADEMA.
Hongereni Polisi kuokoa maisha ya wana CHADEMA....Haah haah.Tunawasubiri Polisi Moshi wajibu mashambulizi ya wenzao wa Dodoma
jocks=jokesThese must be some jocks. Never jock with police they will teach you.
Munaohoji uwepo wa bunge dodoma wakati huu wa ugonjwa usiojulikana nani kawaambia hao wabunge wanakula kwenye bufee?
Munaohoji uwepo wa bunge dodoma wakati huu wa ugonjwa usiojulikana nani kawaambia hao wabunge wanakula kwenye bufee?
Kwenye mahafali sizani kama watu wanakula ugali.
Wakati Jeshi la Polisi likizuia mahafali hayo ya Chadema, taasisi nyingine zilikuwa zikiendelea
na mikutano kwenye hoteli hiyo...