Polisi yatembeza mabomu kwa wananchi Arusha

Polisi yatembeza mabomu kwa wananchi Arusha

Tuache mizaha jamani kinachofanya hawawatu wasikae nakuongea ni nini!? mnaenda kusuruhisha nchi za wenzenu alafu nchini kwako unaacha moshi unafuka unategemea nini! Tunaweza kuzuia mengi zaidi kama ccm na cdm wakikaa arusha na kuyaweka haya mambo sawa! kwani hata kwenye hayo maendeleo ambayo woote tunayataka hivi yanawezekana bila kushirikiana!
JK SI LAZIMA UAMBIWE NA MATAIFA MENGINE UKASULUHISHE NDO UKUBALI SASA MIMI NASEMA KAYAMALIZE HAYA MAMBO ARUSHA KABLA HAYAJAFIKA PABAYA, HUWA YAANZA HIVYOHIVYO NA BAADAYE INAKUWA MBAYA ZAIDI!
Hivi auoni kwamba wangetaka kuongea wangekua wameshaongea by now. Mimi ninaona wameshindwa kuelewana tu na kuna watu wamesusa kukuta wenzao.Mimi ninavyoona lakini.😛ray2:
 
sis ndio hatujawaelewa hawa police, hawa wanajaribu kutufikishia ujumbe kwa njia ngumu. Nao wamechoka na maisha, wanataka kutupandisha hasira tufanye revolushen... Wenzao walitia changamoto na wanaendlea libya... Wanatuanzishia hawa!

Tatizo vichwa vyetu vigumu. Hatujifunz kwa balot, kwa chaki, wala hata kwa njia ya mjeledi...sembuse masri na Tunis?!

as
 
Nakubaliana na mwana jf newdawntz kuwa polisi wameasi kiaina ili kutibua hasira za wananchi kwani toka jana nilishangaa kuona idadi kubwa sana ya ffu mitaani )
 
Kweli ujinga ni ujinga tu....hivi kwa nini hii serikali haijifunzi. Mimi nauangalia mji wa arusha kama kivutio kikubwa sana nchini mwetu cha utalii, yaani gate way to utalii hapa tz.Sasa hizi vurugu za kupumbavu namna hii zitaadthiri sana hii biashara. Mimi sielewi kwanini hii mijitu haielewi na mibom bom yao.... Kama Max alivyosema watu tayari ni kama wameshazoea haya mabom...sooner or later something great will hapen.

Nani leo angewahi kufikiri Ngadafi wa libya yangetokea yanayotokea tena ghalfla namna hii???
 
Polisi na wanajeshi walikula kiapo cha utii kwa bwana mkubwa kwa maana hiyo amri ikitolewa hata kama haina mashiko wao watatii tu. Sio kwamba polisi wanaipenda sana serikali iliyoko madarakani, na wala hawapendi kuwapiga watu mabomu. Tatizo ni kiapo cha utii. Ukitaka kuamini kwamba polisi na wanajeshi wengi (ukiacha wachache wanaokula matunda ya nchi) hawakupenda serikali iliyopo iendelee kutawala jaribu kufanya survey kwenye vituo vya kupigia kura vilivyokua kwenye kambi/kotazi za jeshi na kotazi za polisi. Utaona jinsi gani CCM walivyogaragazwa kuanzia matokeo ya udiwani hadi urais.
 
Poleni sana arusha.nipo misri nimetokea tunisia nitapitia libya halafu nakuja arusha.Nikifika mwisho wa uonevu utafika.
 
....in fact mapinduz ya Libya yameanzia nje ya Capital Tripoli. Arusha msituangushe!
 
Sitashangaa. Lema amezoea kufanya vitendo vya kihuni.

Hajui kuwa yeye ni mbunge na ubunge una heshma zake.

Mshaurini aache usanii katika siasa. Arudi shule, hajachelewa sana.


Sidhani kama ni utovu wa nidhamu kwa Mbunge kuamua kutembea kwa miguu kuelekea ofisini kwake manispaa,hasa ikiwa gari yake ilifanya kazi ya kuwapakia viongozi wake wa Chama.

Naomba niseme hivi,hatutaogopa mabomu na wale wote ambao mnafikiri maneno yanu yatatukatisha tamaa sinauhakika kama itakuwa hivyo kwani tunafanya matakwa ya wananchi waliotoa dhamana.Busara za viongozi wetu zitatuongoza Mungu anayejua dhamira za mioyo yetu atatutetea nakutoa ulinzi.

Mipango yote inayoandaliwa inajulikana na hakikuwa ni kitu cha ajabu sana kwetu.safari tuliikubali tutasafiri mpaka mwisho.
 
police without sober mind are creating a very conducive atmosphere for CDM to showcase its strength and rekindle trust and hope from citizens

we must just leave police to react out of thier sober mind.... this is an added advantage..... it is self-sabotage
 
Hata wafanyaje hawawezi kushindana na nguvu ya Umma,wajiulize kwanza yupo wapi Mubarak,Ben Ali na sasa kamanda Gadafi yupo hoi kashazidiwa na nguvu ya umma sasa sembuzi hivi vifisadi vyetu hapa havijai hata kwenye ungo tukianza kuwabana hawana pa kutokea.
"haki inatafutwa,na akupigae ngumi ya jicho nawe mpige ya sikio"
 
Niliweka Thread ya jinsi ya kutengeneza Molotov Cocktail au Bomu la Petrol Mods wakaitoa. Kuna umuhimu wa wanachi kujua jinsi ya kujihami na hawa Police koko wanaofikiri kwa makalio yao badala ya kifikiri kwa bongo zao. Mods naombeni nirudishe ile ilimu!
 
Tupeni taarifa zaidi, imekuwaje tena hao mbwa wa kikwete hawakomi tuu!
 
mi nilidhani mabomu kama yale ya gongo la mboto.

Hata hivi pengine watakuja na wazo la kuweka ghala ya mabomu yaliyoisha muda huko Arusha ili yawasaidie kusambaratisha upinzani.
 
Niliweka Thread ya jinsi ya kutengeneza Molotov Cocktail au Bomu la Petrol Mods wakaitoa. Kuna umuhimu wa wanachi kujua jinsi ya kujihami na hawa Police koko wanaofikiri kwa makalio yao badala ya kifikiri kwa bongo zao. Mods naombeni nirudishe ile ilimu!
ziweke tena kaka...
 
Mi nadhani wanazidi kutupa zoezi, waache waendeleze hako kamchezo kao, si wameona ni sifa, ipo siku vifo vya maaskari hasa FFU vitaanza kuliportiwa kwenye vyombo vya habari, hata kama hawataripoti lakini ndo hvo wajiandae! tukitulia wanapiga hayo mabomu, ivi hawajui adhari za hayo mabomu, wakasome historia ya Mabomu ya Hiloshima na Nakasaki, nini matokeo yake mpaka sasa kwa watu wa Japan, afu kwaujinga wao wanapiga bila hata sababu!! kulikuwa na vurugu ipi imewashinda mpaka kuingiza mabomu? WAJINGA kweli! Siku yaja ambayo hawatoifaham wataungana na Kikwete wao Jehanam ya milele, wasifikiri Libya na Egypt wameanza jana, ni hivi hivi, mambo ya uonevu yakizidi kinachofuata ni kutumia nguvu kupambana nao, binadamu ni kiumbe tofauti na wengine, ukimwelekeza anaelewa, na ukiona amekataa kukuelewa jiulize kwa nini labda kuna kitu anataka cha zaidi mbali na kumkataza tu! ukitumia njia nyingine ya kumzuia mtaumizana bure!, na wakumbuke kuwa wao ndo wataumia zaidi hao vibaraka wa mkwere! Afu mkwere naye yupo out mpaka sasa, anaacha mbwa wake wakitufanyia viovu, ngoja dawa yao ni sumu na hivi wana njaa!! Ooooooooh!
 
Kwa ishara hii inatudhihirishia kuwa mabomu ya Gongo la Mboto hayajatokea wala kulipuka kimakosa, hataaa!!! walipangan ivi unataka kuniambia kwa mhanga wa mabomu ya gongo aliyekimbilia kwa ngudu zake Arusha akiona au kusikia hiyo hali atapona kweli au kivp ataendelea kuipenda Tz na kuendelea kutangaza kuwa Tz kuna Amani, utakuwa ni umbea tu! JK ni kwamba si mzarendo! bora utuachie nchi yetu, tumekuchoka! Please ondoka mapema kabla hatujaumizana!
 
Yani wewe un akili kweli, emu itoe hiyo elimu ili tuwapunguze hawa mbwa koko before atujaenda ikulu, kuchukua nchi yetu.:A S-devil4: big up!!!
 
Back
Top Bottom