Tuabarishe kuna nini tena Arusha, maandamano nini???????????Nyepesi nyepesi kwa wana JF! Kuna hali ya uvunjifu wa amani Ausha. Silaha za machozi zimepigwa maeneo ya karibu na ofisi ya Mkuu wa mkoa jirani na Manispaa ya Arusha. Jamani tunataka amani Arusha. Hali si shwari.
duuuu kunanini tena huko jamani!??
Itakuwa ni fedha nyingi sana mkuu!!jamani jamani... wana mabomu mengi sana nini? hivi bomu moja la machozi bei gani?
Hii ni hatari CDM waachane na hiyo issue!!
Polisi imetumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa chadema waliokuwa wanatoka mahakamani kwa mguu kurudi makwao
....there will come a day ambapo wananchi hawataogopa mabomu wala risasi za polisi na watajitolea kukomboa nchi yao!!!!Itakuwa ni fedha nyingi sana mkuu!!
This is cowardice! Politics is not for the faint-hearted. Viongozi wetu wa ukombozi Afrika wangekuwa na attitude "ya kuachana na hiyo issue" wakoloni bado wangekuwa wanatamba na sisi wote tunekuwa watumwa
HATA MIMI NILIDHANI NI YALE NILIYOYAONA KWA MACHO YANGU G-MBOTO duu!Hicho kichwa cha habari kimenistua sana!!