marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,634
- 3,661
Mbona ushahidi umewekwa facebook watu wamem tag Chagonja na Mwema
Mkuu ule mkanda wa ukweli kabisa umeshatoka?
Mbona ushahidi umewekwa facebook watu wamem tag Chagonja na Mwema
Wakisikia hivyo na wewe watakukamata
Kama CHAGONJA alivyoshindwa kudanganya watanzania kuhusu mauaji ya Daudi MWANGOSI.
Mambo mengine naona ni utani tuu. Au labda hao polisi wanaona sero zao zimepungua wapiga kelele usiku wakaogopa askari wa zamu kulala counter tu. Hizo memory card, zimeshapoteza hata memory ya lile bomu. Wawarudishie tu wemyewe. Ushauri wangu, wamwendee Mbowe kwa magoti, wasijaribu kumtikisa akili yake ikapoteza memory, wakikubaliana na masharti yake, Mbowe namfahamu. Atawapa huo mkanda wauone, wajichambue, wajue walipokosea, ili mwakani tu, kwenye huo uchaguzi mpya wa madiwani, wajue namna ya kutupa bomu vizuri wasionwe na kamera.
huu ni ushauri wangu tu wana jf msinipige mawe. mimi sio polisi
wanatoa maelezo gan wanapowapekua? na wanakuja na search warranty?...na wanashikiliwa kwa charges gan?
FBI are watching the situation closely
Dunia ivyokuwa nyepesi mtu anapiga picha inasave directly kwenye dropbox au iclouds sasa wao wanafikiria memory card ambazo sikuhizi ni obsolete media
Wanajua hata dropbox?
Picha ziko ulimwenguni kote watazifutaje?
Wanafikiri dunia nzima makao makuu yako Dodoma ama Magogoni?
Imekula kwao!
Tupe link wachelewajiWamechelewa sana kitu ipo mpaka ndani ya JF.
Naona hii ni namna ya kuwatisha waandishi wa habari na wapiga picha wasiendelee kurekodi matukio ya mikutano ya CHADEMA kwa kuwa wanawaumbua. Sasa kamera na memory card zinahusiana vipi na mauaji? Kupiga picha kwenye tukio kunahusiana vipi na ushiriki katika mauaji? Wawakamate pia wale wagonjwa waliotoa ushahidi kwenye vyombo vya habari kwamba polisi walimkimbiza mtuhumiwa.
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....
★***★***★***★***★