Nawashauri wapekue internet waondoke nayo ili kuiunganisha ktk ushahidi wao
wanatoa maelezo gan wanapowapekua? na wanakuja na search warranty?...na wanashikiliwa kwa charges gan?
CHADEMA wanawapeleka mchaka mchaka polisi tu, hawana mkanda unaoonesha mlipuaji wa bomu AR!
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....
Kama CHAGONJA alivyoshindwa kudanganya watanzania kuhusu mauaji ya Daudi MWANGOSI.Huwezi kufanya mawazo yako yakawa mawazo ya watanzania wote na huwezi kupotosha watu wote wewe.
Mbona ushahidi umewekwa facebook watu wamem tag Chagonja na Mwema
Wakisikia hivyo na wewe watakukamataWamechelewa sana kitu ipo mpaka ndani ya JF.