Hivi huyu kiongozi wa polisi anayetoa agizo la aina hii ANA AKILI TIMAMU KWELI? Kwa karne hii taarifa inaenea dunia yote kwa sekunde tu,sasa leo anakurupuka kutoa agizo la hivi,ina maana kweli kiongozi huyu ameenda shule,je,hana hata washauri?wapo vijana wengi sana wa ki-digitali ktk jeshi letu la polisi kwa nini wasitumike kuwashauri hawa VILAZA WAKUU WA POLISI?nashauri kiongozi wa hivi atimuliwe kazi mara moja.aidha ATEMBELEE MITANDAO YOTE na kuwaomba mods wadelete picha zote zilizorekodiwa siku hiyo ya tukio.Vinginevyo aache upumbavu.