Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....
★***★***★***★***★
★***★***★***★***★
Mpiga Picha Dennis aliyekamatwa na polisi na kunyang'anywa camera, laptop, Memory Cards amefunguliwa kesi ya mauaji.
Serikali ya ccm inajaribu kutumia nguvu nyingi kutaka kuondoa tention ya watubwa Arusha kuwa serikali na polisi hawahusiki kulipua bomu na kupiga risasi raia wasio na hatia.
Watahangaika sana hata wamesahau kuwa kuna Mungu!!!