Polisi wahaha kufuta ushahidi wa bomu na risasi

Polisi wahaha kufuta ushahidi wa bomu na risasi

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....
★***★***★***★***★
Mpiga Picha Dennis aliyekamatwa na polisi na kunyang'anywa camera, laptop, Memory Cards amefunguliwa kesi ya mauaji.
Serikali ya ccm inajaribu kutumia nguvu nyingi kutaka kuondoa tention ya watubwa Arusha kuwa serikali na polisi hawahusiki kulipua bomu na kupiga risasi raia wasio na hatia.
Watahangaika sana hata wamesahau kuwa kuna Mungu!!!
 
wanatoa maelezo gan wanapowapekua? na wanakuja na search warranty?...na wanashikiliwa kwa charges gan?
 
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....

nami nawaambia "too late" hawataweza kupata kitu hadi mahakamani.
 
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....

Ziko youtube tayari wakazifute ......
 
wanakama wakidhani muda woote huo watu bado wanakaa navyo tu. Hata kama wakikutwa navyo lkn Copy ishakwenda kwa kamanda Mbowe. Pia wakikutwa navyo nadhani hawana makosa bali wenye makosa ni wale waliorusha mabomu na kupiga risasi hovyo.
 
Siku hizi habari hupepea kama upepo. Vilevile data huwekwa kwenye mawingu ambapo kuzipata ni shida. Ndio maana tunaona kuwa tukio likitokea linasambaa ulimwengu mzima baada ya sekunde chache, na ukitaka kuzifuta zipo mahali zimehifadhiwa huwezi kuzipata. Wamepitwa na wakati!
 
Wanaacha kwenda kukamata wahusika kama Mwigulu Nchemba wanatafuta wapiga picha kweli hili jeshi la polisi ni zima moto. waende Dropbox ndiko zilikohifadhiwa

Wanajua hata dropbox?
Picha ziko ulimwenguni kote watazifutaje?
Wanafikiri dunia nzima makao makuu yako Dodoma ama Magogoni?
Imekula kwao!
 
kuna umuhimu mkubwa wa taaluma za hawa watu zikapitiwa upya kabisa

kati ya taasisi zinazofanya kazi kizamani hawa jamaa nadani watakuwa wanaongoza kwenye huu ukanda wa Africa Mashariki

wanayoyafanya nadhan wanakiuka haki za msingi za binadamu
 
teh tehhh teh, kama ndo leo kumekucha kwao tayari ishakuwa usiku kwa wengine
 
Wamechelewa sana kitu ipo mpaka ndani ya JF.

Hiyo wanayoitafuta niiele ya inayoonyeesha afande akifanya vitu vyake kwenye mkutano wachadema maana kama ingekuwa ni hiyo iliyoko hapa JF sidhani kama wange hangaika...mimi niwape ushauri wa bure waka mpekue Mbowe
 
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....

Haiwezi kuwasaidia hata kidogo.Labda watafute watu wote walioona wawatoboe macho.Lakini watafanyaje kwenye fikra maana ndiko zimekaa kumbukumbu za mabomu.Hakika mfa maji haachi kutapatapa.
 
Back
Top Bottom