Polisi wahaha kufuta ushahidi wa bomu na risasi

Polisi wahaha kufuta ushahidi wa bomu na risasi

Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....
Ntawaripoti kwa jamaa waliokuja na "mkulu wa world" ili waweze kufundishwa kazi yao namna inavyotakiwa kufanywa.
 
Haiwezi kuwasaidia hata kidogo.Labda watafute watu wote walioona wawatoboe macho.Lakini watafanyaje kwenye fikra maana ndiko zimekaa kumbukumbu za mabomu.Hakika mfa maji haachi kutapatapa.
Mmmm? we hatari kweli.
 
Siku hizi habari hupepea kama upepo. Vilevile data huwekwa kwenye mawingu ambapo kuzipata ni shida. Ndio maana tunaona kuwa tukio likitokea linasambaa ulimwengu mzima baada ya sekunde chache, na ukitaka kuzifuta zipo mahali zimehifadhiwa huwezi kuzipata. Wamepitwa na wakati!
Sijui wata watawakamata na waliopiga picha kwa simu za kichina....kweli Kikwete kaamua
 
wataanzia wapi? Wao walikuwa wapi siku ya tukio,si walikuwa hapohapo wakifulumisha mabom ya machozi na risasi za moto?
 
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....

Kwani walikuwa wapi muda wote huo?,siku ya kufa nyani miti yote huteleza.Uovu uliofanywa na Jeshi la Polisi pamoja na Serikali hii ni lazima uwekwe hadharani kila mmoja ajionee.Nchi inaendeshwa kihuni huni tu sheria zote zilizopo utafikiri mmewatungia wananchi wazifuate lakini sio ninyi kama Serikali?.Aibu ni yenu ,damu za binaadam mlizozimwaga kwa manufaa yenu mtazilipia
 
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....
waje kwangu kwani "master " nimesha wakabidhi wazee wa mkulu wa dunia washughulike nao
 
POLISI-CCM wa analogia wanashindana na DIGITALI (CDM) wataweza kweli? au ndio Taifa starz ikipangiwa mechi na Barcelona au Madrid inabidi wacheze tu huku wakijua watafungwa bao nyingi!
 
Kwani walikuwa wapi muda wote huo?,siku ya kufa nyani miti yote huteleza.Uovu uliofanywa na Jeshi la Polisi pamoja na Serikali hii ni lazima uwekwe hadharani kila mmoja ajionee.Nchi inaendeshwa kihuni huni tu sheria zote zilizopo utafikiri mmewatungia wananchi wazifuate lakini sio ninyi kama Serikali?.Aibu ni yenu ,damu za binaadam mlizozimwaga kwa manufaa yenu mtazilipia
mkuu kila mtu na uwezo wake wa kufikria kuna mwingine aliliona hilo siku hihiyo lakini wao wameligundua jana usiku baada ya video ile kuwekwa mitandaoni..
 
POLISI-CCM wa analogia wanashindana na DIGITALI (CDM) wataweza kweli? au ndio Taifa starz ikipangiwa mechi na Barcelona au Madrid inabidi wacheze tu huku wakijua watafungwa bao nyingi!

Hiyo D inawakilisha Demokrasia na Digitali
 
Dunia ivyokuwa nyepesi mtu anapiga picha inasave directly kwenye dropbox au iclouds sasa wao wanafikiria memory card ambazo sikuhizi ni obsolete media
 
Ndiyo wanakumbuka sasa baada ya takriban wiki mbili? Ama walikuwa wanasubiri malipo kwa kazi waliyofanya awali....
 
Wanaacha kwenda kukamata wahusika kama Mwigulu Nchemba wanatafuta wapiga picha kweli hili jeshi la polisi ni zima moto. waende Dropbox ndiko zilikohifadhiwa

Mama toto

Umeambiwa kazi wanayofanya ni 'kufuta' ushahidi.
 
Polisi mkoani Arusha wakishirikiana na kikosi kilichoundwa kufatilia swala la bomu na risasi walizofurumishiwa wana chadema tarehe 15.06.2013 zilizopelekea vifo vya watu wanne na majeruhi zaidi ya 70, leo wameanza msako wa kukamata wapiga picha wote ambao huonekana kwenye mikutano ya chadema na kila wanapo kukamata wana enda kwako kupekua na kuchukua memory card, flash, cd na kama una komputer wanabeba, mpka sasa wapiga picha wawili wamesha kamatwa.....


Mkuu tupo busy kumeet deadline, yamebakia masaa machache tuu ifike 30/06/13. Sasa tunahitaji mazungumzo kuweza kuongeza muda kidogo wa hii kazi. Sababu hatujafanikiwa hata nusu ya makubariano ila resources zetu naona ndizo zinatumika kuwapaisha wale wenzetu wa kile chama kingine. So acha kuanika watu although ni too late.
 
Wao hawana kamera? Mbona wamekaa kizamani sana?

Wanazo wanataka kuzitumia picha zao za kuchakachua ndio maana wanachukua mpaka memory cards.... Wanataka wazitumie picha za hao wapiga picha halafu wazikubali
 
nina wasiwasi na hawa policcm kama wana mafunzo ya kutosha,nashangaa huu ushauri wanaupata kwa IGP wao au?
 
Huko Boston baada ya mlipuko wa bomu kwenye mbio za nyika, FBI waliomba mwananchi yeyote mwenye taarifa ya kusaidia na wale wote wliopiga picha wakati huo wawapelekee polisi ili kusaidia uchunguzi wao. Hii ilisaidia pamoja na kamera za mitaani kuchunguza tukio hilo. Mimi nilifikiri CID yetu pia inafanya hivyo? Na siyo kukamata.
 
Sijui akili za hawa watu zikoje,watu washatoa copy Mpaka Mwigulu ishamfikia sema hana jinsi ya kufanya.Anavuta pumzi tu kusubire INGIZO LAKE 'sokoni'
 
Back
Top Bottom