wanaonyesha nn wengine hatucheki TV mida ii, funguka mkuuITV wanaonyesha sasa
Anaona Aibu maana ameumbuka sana leo.Ha ha ha ha nimecheka sanaaaaa....yani RPC anajibu simple namna hiyo. Kama kweli real we don't have police officers
Wanaonesha maandamano yalivyofanyika Mwanzawanaonyesha nn wengine hatucheki TV mida ii, funguka mkuu
Uzuri waliombeba wote hawapo ulingoni! Mwema Kova na JK...wote out! Wanamchukia sana sababu amebebwa sana na ameruka levels kibaoHuyo RPC arejeshwe wizarani aende akasome magazeti maana huu unafiki wake umepitliza
Taarifa ya habari ITV saa mbili usikuPicha tafadhari, kabla watu hatujaumiza vichwa vyetu kuchangia.!
Utaongea hadi kichina leo ,maandamano ya kata! we call this peripheral politics. That was ward level butter and bread politics a reasonable policeman could politely ignore.
Mwema ana jipu la Lugumi na kova ana jipu la makontena na ile nyumba aliyompora yule Nzowa, hana mtetezi ajiandae kurejeshwa wizarani kusoma magazeti au atahamishiwa lindi au Rukwa akapambane na wajanja wa vijijini.Uzuri waliombeba wote hawapo ulingoni! Mwema Kova na JK...wote out! Wanamchukia sana sababu amebebwa sana na ameruka levels kibao