MR MAJANGA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 3,526
- 10,820
Mbona hilo linaeleweka kwani unadhani RPC nae haogopi amri ikitoka juu..."eti sina taarifa kama kuna tukio kama hilo"
"Tena full confidence" "sina taarifa" lakini upinzani ukitaka kufanya mkutano intelligence inaota toka usingizini kutakuwa na uvunjifu wa amani