Pumba ni makapi. Makapi ni takataka. Takataka ni Uchafu. Uchafu haufai.Unapotaka kuandamana bila kuwa na nia nzuri lazima utazuiwa tu
Source yangu ni ITV Wameeleza mbinu waliyotumia. Hawakutembea kwa miguu. Bali walipannda hiace na mpaka walipoenda. Ni ngumu kwa police kung'amua mbinu hiyo.Walifanyanini mpaka kufika pale walipofika wacha ujuha
Ina maana intelligensia ya Polisi ilishindwa kujua hiloSource yangu ni ITV Wameeleza mbinu waliyotumia. Hawakutembea kwa miguu. Bali walipannda hiace na mpaka walipoenda. Ni ngumu kwa police kung'amua mbinu hiyo.
Unapoleta chuki baina ya jamii **** wewe itakusaidia nn? Au kwenu Burundi? Mambo yakiharibika unarudi kwenu?
Ccm wanajua kuandamana kwa amani,
Hapo ingekuwa machadema watu wangefanyiwa fujo na kulazimishwa kuandamana
Kunatofauti kubwa sana mkuu kati ya sungura na paka chadema lakuvunda.
Nafikiri umejioneaPicha..
Bata na kuku ni tofauti mkuu japo wote ni ndege.
Acha tu kuku ajisaidie.