Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,685
- 12,319
Binti yangu sitaki aolewe na hao watu wengi wao ni zero brain.
Wanajiona nchi hii ni mali ya mama zao.
Wanajiona nchi hii ni mali ya mama zao.
Hilda NewtonUnaleta umbea Tu usiokuwa na mashiko.
Vifo vyote vyenye utata ndugu hawawezi kuruhusu kuzikwa mpaka ifanyike postmortem itakayoshirikisha Wana ndugu.
Marehemu she is dead and buried, unataka JF tuanze kujadili umbea na illusions?
Pambana na January usirudishe muda nyuma.
ungeanzia hapa hapa jamiiforum.Hatuna uelewa mmoja sio kila mtu anajua pa kuanzia haki yake
Kwa hiyo kama suspect ni man in uniforms, mnamwona kama semi God!Mtuhumiwa polisi
YES,Binti yangu sitaki aolewe na hao watu wengi wao ni zero brain.
Wanajiona nchi hii ni mali ya mama zao.
mkuu umetisha yani mmekaa kama makondoo mwaka mzima leo ndo unakumbuka haki.
huyoo dada aliekufa huko alipo amewadharau sana mlivyoo màzezeta kushindwa kupigania haki yake akiwa bado hajazikwa
Uchunguzi ufanyike.....Taarifa za Hospitali ziwekwe MahakamaniKutoka kwenye mtandao wa X, Akaunti ya Lisa Ildephonce (@LIldephoce)
“Tarehe 23/1/2023 Tulipata msiba wa dada angu alifariki katika mazingira ya kutatanisha aliolewa na kijana anaitwa Josephat Aron ambaye ni Police pale Ufundi (Kilwa Road) cheo Kopro
Kifo chake kilitupa mashaka kutokana na mgogoro wa ndoa waliokuwa nao na sababu hiyo hatujui mpaka leo hii dada yetu amekufa na tatizo gani kwani baada ya kufariki kijana huyo alitunyima kupima mwili pamoja na taarifa za hosptal juu ya kilichomuua dada yetu
Imefika hatua familia ya marehemu wanatishiwa na hawana amani
Siku ya kumuaga marehemu mdogo wa kike wa marehemu alinyimwa kwenda kumstiri dada yake badala yake alienda mume na kaka ake kumstiri dada yetu ndugu tulichukizwa na iko kitendo cha shemeji mtu kwenda kumstiri marehemu tukaingilia kati hilo mwisho wa siku wakamruhusu mdogo mtu kuingia lakini haikusaidia kwani mume na shemeji wa marehemu walikuwa wameshatangulia
Baada ya kuruhusiwa mdogo wa marehemu na mama zake wadogo wawili walinyimwa gloves kwaajili ya kumvalisha marehemu na walikuta dada yetu amezuriwa maeneo mengi
Ndugu wa mwanamke waliokuwa hospitalini walikatazwa kumuona mgonjwa aliyekuwa anaingia ni Josephat na ndugu yake anaitwa Mwinyi walimuamisha mochwari kutoka hospital alipofia (Hindu Mandal)na kumpeleka mochwari ya kazini kwao anapofanyia kazi ndugu wasiweze kupima mwili
View attachment 2860643
View attachment 2860644
View attachment 2860794
Hii ni siku ya msiba [Video] baada ya ndugu wa mwanamke kutaka mwili ukafanyiwe vipimo ili kujua ndugu yetu kwa nini amepatwa na kifo ila tukaletewa mapolisi waliokuja na mwili wakashika na mabunduki kutaka kuyafwatua baada ya wananchi waliokuja msibani kuwaambia tuuweni tu kama hamtaki tumpime ndugu yetu. Kijana huyo Josephat Aron akaamuru Polisi waingie ndani ya gari. Tulimzika ndugu yetu chini ya ulinzi wa mapolisi waliotoka Dar es Salaam kuja Rombo na mwili tukiwa na majonzi”
Comment ya Kipumbavu toka mwaka huu uanzeUnaleta umbea Tu usiokuwa na mashiko.
Vifo vyote vyenye utata ndugu hawawezi kuruhusu kuzikwa mpaka ifanyike postmortem itakayoshirikisha Wana ndugu.
Marehemu she is dead and buried, unataka JF tuanze kujadili umbea na illusions?
Pambana na January usirudishe muda nyuma.
Labda ana nguvu kubwa nyuma yake ndo mana wanamuogopa.Ndo hivyo. Ila kwenye case kama hiyo ndugu wa mke wangesimama vizuri uchunguzi ungefanyika, inaonyesha ni waoga
Koplo koplo koplo ndio wakukutisha. Angekuwa officer kabisa ingekuwaje?Mtoto wa nyoka ni nyoka tu hakuna cha u-koplo wala u-igp, hata igp alianza kama koplo.
Hahahaa...Koplo koplo koplo ndio wakukutisha. Angekuwa officer kabisa ingekuwaje?
Kajambe.
Tanzania mwenye sheria ni yule aliyekuwa na pesa/mamlaka na yule anaemjua mwenye pesa/mamlaka.Hivi Tanzania hakuna sheria inayolazimisha kila kifo kipate cheti kutoka kwenye mamlaka kudhihirisha chanzo cha kufariki kabla ya maziko? Kama hali iko hivyo basi ni hatari sana.