Polisi nanyi hamuaminiki milele, taarifa hii hakuna mwenye akili anaweza kuiamini kutokana na matendo ya kuteka watu na kusema hamuhusiki

Polisi nanyi hamuaminiki milele, taarifa hii hakuna mwenye akili anaweza kuiamini kutokana na matendo ya kuteka watu na kusema hamuhusiki

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,136
Reaction score
96,161
Polisi hamuaminiki.
Mmeteka watu maelfu mnasema hamihusiki, at the end of the day inafahamika pasi shaka kuwa you are the CULPRITS.
Soka yuko wapi wakati aliripoti Chang'ombe na mkasema hamuhusiki.

20260216133739_-700642152_6053798798390053767_640_513_85_webp(1).png
 
Polisi hamuaminiki.
Mmeteka watu maelfu mnasema.hamijusiki, at the end of the day inafahamika pasi shaka kuwa you are the CULPRITS.
Soka yuko wapi wakati aliripoti Chang'ombena mkasema hamuhusiki.
1.Amekutwa shambani akiwa amejeruhiwa (na nani?) na kitu...na watu wasio julikana...
2.Uchunguzi wa awali (unaaminika kuliko uchunguzi wa kina!) ... Wamekamatwa watu wawili (vipi kama ni wana TFF?)
 
Tanzania kama vile inatawaliwa na wageni wanaamua kuwaumiza na kuua wazawa siamini kwa matukio haya wakawa wanafanya wazawa wazalendo na Nchi yao siamini..
 
MIMI KAMA KIONGOZI WA TFF NAJIANDAA KUAMRISHA VIKOSI VYANGU KUANZA MASHAMBULIZI ILI KUMWAJIBISHA MUUAJI
 
Polisi hamuaminiki.
Mmeteka watu maelfu mnasema hamihusiki, at the end of the day inafahamika pasi shaka kuwa you are the CULPRITS.
Soka yuko wapi wakati aliripoti Chang'ombe na mkasema hamuhusiki.

View attachment 3545065
Gentleman,
amini Mungu pekee, acha kuendekeza lawama na imani potofu za kishirikina.

Kuiamini polisi sio lazima, ni hiyari kulingana na imani yako.
Ni vizuri kuacha jeshi la polisi kufanya kazi zake kwa uhuru bila kuingiza imani zako potofu
 
Gentleman,
amini Mungu pekee, acha kuendekeza lawama na imani potofu za kishirikina.

Kuiamini polisi sio lazima, ni hiyari kulingana na imani yako.
Ni vizuri kuacha jeshi la polisi kufanya kazi zake kwa uhuru bila kuingiza imani zako potofu
Kwani Tanzania kunajeshi la polisi au kikundi cha kigaidi
 
Kwani Tanzania kunajeshi la polisi au kikundi cha kigaidi
vikundi vichache vya kigaidi na na baadhi ya mamaluki malofa wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi walikua na dhana potofu dhidi ya polisi Tanzania kama wewe, wakajaribu kupora watu, kupiga wapiga kura na kuharibu miundombinu na matokeo yake wakapeleka zawadi za huzuni na vilio majumbani kwao na kwenye familia zao.

jihadhari na ulofa wa aina hiyo ya fikra gentleman:1Head:
 
vikundi vichache vya kigaidi na na baadhi ya mamaluki malofa wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi walikua na dhana potofu dhidi ya polisi Tanzania kama wewe, wakajaribu kupora watu, kupiga wapiga kura na kuharibu miundombinu na matokeo yake wakapeleka zawadi za huzuni na vilio majumbani kwao na kwenye familia zao.

jihadhari na ulofa wa aina hiyo ya fikra gentleman:1Head:
Nyinyi muda wenu utafika tutawafurusha kama digidigi,jiandaeni
 
Nyinyi muda wenu utafika tutawafurusha kama digidigi,jiandaeni
ni vizuri pia kuijiepusha na imani potofu za kishirikina, pamoja na ramli nonsense kama hizo gentleman,

lofa kama wewe utamfurumusha nani gentleman?:pedroP:
 
Back
Top Bottom