macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,791
- 39,584
Kufariki kwa ugonjwa wa moyo siyo lazima mtu awe na ugonjwa uliokuwa unajulikana. Kuna wakati inaweza kutokea tu ghafla. Ila hata hivyo bado kuna utata. Huyo mtoto wa marehemu anasema ni yeye aliingia ndani na kumkuta akiwa bila nguo na majeraha. Siyo rahisi asme uongo na sioni sababu itakayomfanya aseme uongo. Kuna jambo lilitokea lakini polisi ya pongo siku zote ni kuchukulia mambo kirahisi.Amejuaje kama alikufa kwa Ugonjwa wa moyo? Ni ripoti ya Daktari ndo inasema hivyo Je! Hiyo ripoti Familia imepewa na Familia inasemaje mzee alikua na Matatizo ya Moyo?