musacha
Senior Member
- Sep 21, 2012
- 185
- 139
Hakuna mahali ameomba ushauri. Soma vizuri post yake. Pia hakuna mahali nimemsuta mtu, unless hujui maana ya kusuta.Sasa kwanini wewe ukumpa ushauri,badala yake umetumia komenti yako kusuta wengine ???
Hakuna mahali ameomba ushauri. Soma vizuri post yake. Pia hakuna mahali nimemsuta mtu, unless hujui maana ya kusuta.Sasa kwanini wewe ukumpa ushauri,badala yake umetumia komenti yako kusuta wengine ???
Duuuh, pole sana kama hujui lugha ya maandishi,ulitegemea hadi aseme. Wewe kwa akili zako unadhani polisi hapajui akaliseme hili aliloliweka humu ......Humu kaomba ushauri,japo ajaandika lakini maelezo yake yanajieleza hivyo.Hakuna mahali ameomba ushauri. Soma vizuri post yake. Pia hakuna mahali nimemsuta mtu, unless hujui maana ya kusuta.
Asante wewe unaejua lugha ya maandishi, ambayo sijui ni lugha gani hiyo. Inaonekana u mjuvi wa lugha ya maandishi, hebu tusaidie kumshauri huyu mtoa post.Duuuh, pole sana kama hujui lugha ya maandishi,ulitegemea hadi aseme. Wewe kwa akili zako unadhani polisi hapajui akaliseme hili aliloliweka humu ......Humu kaomba ushauri,japo ajaandika lakini maelezo yake yanajieleza hivyo.
Ya wcb ni ishu ya mda nchache tu, nilidhani utaulizia mauaji ya kibiti ama fujo za wcb! Watu wengine bure kabisaHivi hizi fujo tulizofanyiwa leo barabarani na hawa wanaojiita WCB wakiongozwa na diamond platnumz wakitoka kumpokea mwenzao Rayvanny mmeziona au wenyewe wapo juu ya sheria maana bado kidogo tu nipate ajali kwa sababu ya waliyokuwa wanafanya barabarani
Asante kwa kujua mimi ninajua kufuatilia neno kwa neno sio kusoma tu kama ninasoma hadithi.Asante wewe unaejua lugha ya maandishi, ambayo sijui ni lugha gani hiyo. Inaonekana u mjuvi wa lugha ya maandishi, hebu tusaidie kumshauri huyu mtoa post.
Kuna wakati mpumbavu akinyamaza huhesabiwa hekima. Hayo ni maneno ya wahenga. Ni vizuri ukajitunzia kaheshima ulikobaki nako. Tafakari.Asante kwa kujua mimi ninajua kufuatilia neno kwa neno sio kusoma tu kama ninasoma hadithi.
Nyamaza wewe upate hekima, mimi sinyamazi kwa sababu nipo hapa kuelimisha wasiojielewa kama wewe.Kuna wakati mpumbavu akinyamaza huhesabiwa hekima. Hayo ni maneno ya wahenga. Ni vizuri ukajitunzia kaheshima ulikobaki nako. Tafakari.
Mkuu hii issue inakutoa povu bure, we potezea iko nje ya uwezo wako kuielewa. Nadhani we sio moja ya wale wachache niliosema wataielewa post ya mtoa mada, ndio maana umeichukulia comment yangu personal. Relax and take it easy.Nyamaza wewe upate hekima, mimi sinyamazi kwa sababu nipo hapa kuelimisha wasiojielewa kama wewe.
Hata huku Singida wamepita sasa hivi ni fujo tupu Gari la kwanza la Harmorapa nyuma alikuwepo rayvanny na Diamond
Ebana we kibokoWe mama bado unasimama kidete kutetea wapaka lipstick wakijiita wasafi?Duuuh, pole sana kama hujui lugha ya maandishi,ulitegemea hadi aseme. Wewe kwa akili zako unadhani polisi hapajui akaliseme hili aliloliweka humu ......Humu kaomba ushauri,japo ajaandika lakini maelezo yake yanajieleza hivyo.
Trafiki angelipima mkuuSina timu na nazipenda nyimbo zao lkn sheria za barabaran lazima ziheshimiwe, walikuwa wanapita katkat ya barabara kwa speed sana as if wanatumia barabara peke yao na hapo sijui kama walikuwa na kibali au hawakuwa na kibali,kama ingetokea ajali ingekuwa vp
Doto DottoUlitaka iweje!?