Polisi mmewaona WCB au?

Polisi mmewaona WCB au?

Wanakera sana siku hizi yani mtu akipata ki tuzo huko basi fujo barabarani sipati picha siku apate Oscar kwa bahati mbaya sijui itakuwaje naona watafunga hata anga
 
Na mabodaboda wamepakizana mishkaki, kwenye magari walikuwa wananing,inia madirishani kama vichaa tena wamepita mbele ya kituo cha msimbazi na hakuna hatua yoyote!! Nilijiuliza wako wapi wale wakamamata mabodaboda wanalindwa na polisi wenye mabomu ya machozi sikuwaona !! Jamani hii ni double standard
 
Acheni chuki nyie acha watu wafurahie tuzo ya kwanza ya BET kutua bongo.
Waaaaaasaaaaafiiiiiiiiiiii.... Hutaki hama jiji nenda kibiti huku Dsm tukipata tuzo tunafunga Jiji.
 
Kwakweli jana hawa vijana walifanya mambo ya ajabu sana....

It was danger all the way

hatua kali zinabidi kuchukuliwa
 
Acheni chuki nyie acha watu wafurahie tuzo ya kwanza ya BET kutua bongo.
Waaaaaasaaaaafiiiiiiiiiiii.... Hutaki hama jiji nenda kibiti huku Dsm tukipata tuzo tunafunga Jiji.
Shida ni kuhatarisha maisha sio kutosheherekea,ndicho anachokisema muhusika,mambo ya kibiti yamekujaje hapa?Kadhia za watu wa Kibiti usizitaje kwa dhihaka,huebda hata Kibiti hupajui,acha dhihaka wenzetu wanaishi kwa taharuki kupita digidigi,simamia kwenye content ya mada
 
Hivi hizi fujo tulizofanyiwa leo barabarani na hawa wanaojiita WCB wakiongozwa na diamond platnumz wakitoka kumpokea mwenzao Rayvanny mmeziona au wenyewe wapo juu ya sheria maana bado kidogo tu nipate ajali kwa sababu ya waliyokuwa wanafanya barabarani
Aseeekumbe dar ndo kuna shida ivo
 
Hivi hizi fujo tulizofanyiwa leo barabarani na hawa wanaojiita WCB wakiongozwa na diamond platnumz wakitoka kumpokea mwenzao Rayvanny mmeziona au wenyewe wapo juu ya sheria maana bado kidogo tu nipate ajali kwa sababu ya waliyokuwa wanafanya barabarani
TUMEWAONA.
 
Hakuna sheria inayokataza wakazi wa jiji hili kupokea mgeni wao kutoka Airport...
Na hakuna sheria ya gari kupita katikat ya gari ambazo zinaenda kwenye opposite lanes ..... grow up
 
Hahahaaa inaonekana mtoa mada alikuja DAR kwa sikukuu. Ndio maana shikola mageni
Pole sana kama ndio mawazo yako hayo .... unadhan kila mtu wakuja
 
Back
Top Bottom