Polisi mmewaona WCB au?

Polisi mmewaona WCB au?

Shida ni kuhatarisha maisha sio kutosheherekea,ndicho anachokisema muhusika,mambo ya kibiti yamekujaje hapa?Kadhia za watu wa Kibiti usizitaje kwa dhihaka,huebda hata Kibiti hupajui,acha dhihaka wenzetu wanaishi kwa taharuki kupita digidigi,simamia kwenye content ya mada
Thanks mkuu .... labda waelekeze hawa vichwa maji wasioelewa .... wanaleta mambo yao ya team sijui nn .... hzo team zao hatujawai kusikia wamefungana kwa idadi gani ya mabao
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Screenshot_2017-06-29-16-18-53-1.png


Huu ndio ujinga mnaoutetea ....
 
Thanks mkuu .... labda waelekeze hawa vichwa maji wasioelewa .... wanaleta mambo yao ya team sijui nn .... hzo team zao hatujawai kusikia wamefungana kwa idadi gani ya mabao
Ukosefu wa ajira pia ni tatizo
 
Screenshot_2017-06-29-16-19-46-1.png


Bahati mbaya ingetokea kuna gari inakuja opposite .... na ipo speed hao waliosimama juu ya gari wote si tungekuwa tunaongea mengine

Mnakumbuka kuna mashabiki wa Simba waligusa nyaya za umeme wakat wakishangilia kwenye gari kubwa madhara yake wanaokumbuka wanayajua .....kuna vitu tunaweza viepuka tusijitoe ufaham
 
Mbona hukuwahi kulalamika akipita fulani magari yanaweza zuiwa masaa 6,acha chuki za kitoto,ina maana waliofanya tukio hawakujua kuhusu ajali?
 
tuzo yenyew ya backstage au wanafkir hatujastukia hilo jambo
 
Mbona hukuwahi kulalamika akipita fulani magari yanaweza zuiwa masaa 6,acha chuki za kitoto,ina maana waliofanya tukio hawakujua kuhusu ajali?
Acha kussurpot upuuzi mkuu .... soma vizur nilichokiandika ....
 
Mkuu utapoteza muda bure, wengi hawatakuekewa kwa kuwa licha ya uwezo mdogo wa kupambanua mambo, pia hawatumii ubongo kuwaza bali moyo. Utapoteza muda bure na hakuna atakaetoa hoja zaidi ya povu, wachache ndo watakuelewa.
Naw pia ni Bomu I suppose!
Kuwasema wengine sijui ww umesaidia vip kwa hoja hapo zaid ya kujipamba,tubadilike vijanaa
 
Back
Top Bottom