Polisi Mbeya: Mwenye taarifa za alipo Mdude azitoe

Polisi Mbeya: Mwenye taarifa za alipo Mdude azitoe

1746199119057.png

Hana Jina huyo Kamanda?
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kali...

i Mbowe wala Lisu mwenye furaha kwa sasa
Kama ndivyo Laana inafanya kazi Magufuli Ndio wa kwanza kufa na laana.

Wahuni wahuni wanamchukua binadamu anayelilia Haki wanamwaga damu yake ardhini, we unasema ni Laana? Kuna laana kubwa kama ya kuumwagia udongo damu ya mtu/binadamu? Uwe unajishkilia hata Samia anajua mikono yenye damu Haina amani Ndio anawatuma vijana wa watu maskini kwenda kumwaga Damu na yeye anasema hajawahi kuuwa sismizi! Unajua maisha ya askari wanaotumika kwenye extermination hatma Yao inakuaje?
 
Mwacheni mdude avune alichopanda!
Mwanakulitafuta mwanakulipata!
Mimi nilikuwa nashangaa sana kwa kashfa na matusi anayoyatoa kwa viongozi wa nchi kwanini hachukuliwi hatua za kinidhamu na kisheria!

Hizo ndiyo hatua za kisheria? unajua maana ya rule of law? Chombo kinachotafsiri hatua za kisheria ndiyo kimetfsiri hivyo?
 
Haya mambo ya kusema baadhi ni kama kutaka kuwaisolate watu fulani fulani ,sijui kwa manufaa na nani? .

Polisi wote wa nchi hawana jema kama una mtu wa karibu kaa nae mbali mzee otherwise kuna siku litakukuta Manjagu sio kabisa yaani.
Right
 
Hii kauli ni ya kujikosha tu. Kama kuna mtu anajua alipo , mtu huyo angeshawasiliana na ndugu.
Haiingii akilini kwamba kuna mtu anajua alipo halafu amekaa kimya hadi Polisi watoe kauli! none sense

Fikiria, kama yupo mtaroni amejeruhiwa nani wa kwenda kutoa taarifa! Mtoa taarifa anaweza kugeuziwa kibao. Kuna tatizo, Polisi kwa haya yanayoendelea mna kazi kubwa sana ya kushawishi Dunia! kubwa

Uelewa wa Watu Dunia ya leo ni mkubwa sana!

Juzi kashambuliwa Fr Kitima, immediately ''kakamatwa mtu''! Tunakumbuka ya Mwanamalundi
Ya Mdude Polisi wanaomba Wananchi wafanye kazi zao

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom