Yepi. Haya ya tundu lisu kusema mataifa yaisusie nchi. Yasiipe misaada kwa sabb kamteua mtoto wa ndugu yake kuwa katibu wa wizara ya fedha????
Kule uganda mseven kamteua mke wake kuwa waziri na mtoto wake kuwa afisa wa juu wa jeshi.
Kule marekani trump kamteua mkwe wake kuwa mshauri wake mkuu wa masuala ya uchumi. Kamteua mpaka mtoto wake, marekani uko.
Putin kamteua mdogo wake kwenye nafasi nyeti jeshin na kampa Dada yake cheo kama katibu mkuu kwenye wizara ya fedha. Uko ni urusi.
Africa kusini, zuma kamteua bint yake. Kateua marafiki zake kutoka jimbo lake kuwa mawaziri. Huko ni bonden
Uhuru kenyata alimteua hawara yake kuwa waziri. Na ndugu zake kibao kuwa government officials. Apo ni Kenya
Mifano ni mingi sana mkuu. Hata siwezi kuandika yote. Lakin hujasikia matamko na maneno ya kejeli kama tundu lisu.
Democracy is about leting the winner do what he/she thinks is right to achieve what was in the promice.
Unajua siku zote, the end justifies the means. Mkapa alianzisha mamlaka ya mapato (tra) tunaambiwa wafanyabiashara waliandamana mpaka basi. Kariakoo kulikuwa na mgomo wa karibia wiki. Lakin mzee hakurudi nyuma. Alikomaa. Ukiuliza viongozi wa kwanza aliowateua kuwa waanzilishi wa tra huwez kuamin. Lakin Leo hii tunajivunia tra.
Mwache tu lisu avune anachotaka
Sent using
Jamii Forums mobile app