Anaudhi sana huyo mtu na ilikuwa inaonekana polisi wanamuogopa. Huoni Lema amekuwa mstaarabu!Mbona umekomaa sana na Lisu mkuu!
Ana mimba ya Lissu huyo....Mbona umekomaa sana na Lisu mkuu!
Atanyooka tu.
Wewe kuwa kitaani na kulala kwako.umshukuru lisu uvumilivu wake na viongozi wa upinzani.ipo siku utaelewa.Naona unaanza kuandika insha wakati kamanda anaendelea kusota selo. Sijui kama itasaidia sana.
Wanazidi kuumbuka " if you look at magufuli speech kila siku anaongea same shit if u look at polisi kila siku wanafanya same vioja if u look at those idiots supporting huu ukandamizaji njaa zinaongezeka" tanzania is a loosing nation na i pray for the worse ili akili ziwakae sawa.
Angenyooka wakati wa Mkapa alipowekwa kizuizini kwa miezi mitatu.Hajamtukana mtu ameongea mawazo yake.
Kumbe na wewe ni punguani kiasi hichi kukaa kote nje kumbe uko empty hv si bora urudi nyumbani pumbafuuu kabsaAtanyooka tu.
Mbona umekomaa sana na Lisu mkuu!
Ahahahahaa itakuwa imepenya hiyo....si bure.Kumbe na wewe ni punguani kiasi hichi kukaa kote nje kumbe uko empty hv si bora urudi nyumbani pumbafuuu kabsa
Utanyooka weweAtanyooka tu.
Ameongea mawazo na hisia! Amemtukana nani?? Je sio kweli aliowaweka ni wapwa zake achote vizuri??? Mbona iko wazi? Amemtukana nani Ame chochea nini???Angenyooka wakati wa Mkapa alipowekwa kizuizini kwa miezi mitatu.Hajamtukana mtu ameongea mawazo yake.
Anamuunga mkono matendo ya mkulu ambaye lisu anayapingaHivi umeanza lini kufunga pm mkuu
BAK