Polisi: Lissu hatoki

Polisi: Lissu hatoki

Leo mnatuambia Kubenea ajitokeze mwenyewe Tanzania ni ndogo. Lakini kwa ma criminals wengine waua watu Tanzania inakuwa kubwa, au? Waambieni the true desperados wa Pwani nao wajitokeze wenyewe Tanzania ni ndogo!

Wewe Kamanda Mkondya, bosi wako Kamanda Sirro ameuambia umma kwamba Kibiti ni mbali sana polisi hawana jinsi ya kufika hivyo wananchi wajilinde wenyewe. Tanzania ni kubwa mno kwenu nyinyi polisi msio na weledi.
 
Angenyooka wakati wa Mkapa alipowekwa kizuizini kwa miezi mitatu.Hajamtukana mtu ameongea mawazo yake.

Mkuu hiyo ya kuwekwa ndani na Mkapa miezi mitatu ungeiweka vizuri ingekuwa jambo la maana sana. Ni vema sasa historia ya Lissu ianze kuwekwa wazi, ameanza lini utetezi wa watu wanaoonewa, rasilimali zetu kaanza lini kuzitetea tofauti na hawa walioshiriki kuzifuja ikiwapo kuuza nyumba za umma na leo wanajinadi wazalendo, ameteswa mara ngapi akipigania migodi isituibie, isiue watu wetu nk huku hao wanaojiita wanauchungu sana wakiwa ndani ya baraza la mawaziri linaloamrisha Lissu (akiwa sio Mbunge) akamatwe na wakati mwingine kupigwa wakiwa kimya.

Hivi hawa wanaosema wanawapenda sana Watanzania na tuwaombee kwa Mungu wamehamia nchi hii November 2015? Maana huko nyuma hawakuwa wakisema hayo kama vile hawakuwa na platform la kusemea.

Tetty, please tumtendee haki Lissu sasa kwa kuweka historia yake wazi ya upambanaji wa hawa vibaka wakubwa wa nchi na mapenzi yake kwa taifa na watu wake.

Nimesikia (sina uhakika) kuwa ni wakili anayeongoza kwa kupokea kesi nyingi za kujitolea hasa kama zina gusa makundi yasiyo na kitu. Kuna kila dalili Lissu kuja kuwa kiongozi mkuu na ni vema ajulikane harakati zake zilianzia wapi na kafanya nini, wengi wa wapiga kura ni wa miaka 20-30 years na Lissu alifanya hayo mengi wakiwa hawajazaliwa au watoto na hawajui yeye ni nani zaidi ya hivi wanavyopotoshwa na hizi propaganda za ccm ya sasa.

cc; BAK, Elli, mshana jr , MANI ,Retired and others concerned
 
Hivi hakuna namna ya kujibu tuhuma za Lissu dhidi ya utawala zaidi ya kumuweka selo? Kwanini kurugenzi ya habari ikulu imeshindwa kutolea maelezo suala tuhuma za undugu, ukoo na ukanda.Au kuna mengine Lissu aliyasema off mic/camera ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kawaida, jeshi la Polisi 'linajitwika' mambo mwisho wa siku watu wanauliza chuki inatoka wapi kati ya taasisi na jamii?

1. Kama lipo kosa au la, mkondo wa sheria ndio utakaoamua.
Hadi inapofika hapa kuna tuhuma na mtuhumiwa. Mtuhumiwa si mhalifu hadi itakapothibitika

2. Kamanda wa Polisi anasema Lissu anatumia kichaka cha Ubunge kufanya uhalifu
Kamanda, kazi ya Polisi ni kusimamia sheria bila kujali nafasi, wadhifa au hali ya mhusika
Suala la Ubunge halina mahusiano na uhalifu na silo alilokamatiwa

Kamanda, unaposema 'chaka la uhalifu' tayari umeshamhukumu Lissu kabla ya sheria
Kazi ya Polisi na mwendesha mashtaka ni kufikisha kesi mahakamani, akipatikana na hatia na kuhukumiwa ndipo uhalifu unapotajwa. Kwasasa ni mtuhumiwa hadi sheria itakaposema

3. Kumkamata mtu lazima kuwe na sababu. Ni jambo la kushangaza kumkamata mtu halafu zitafutwe sababu. Kusema upelelezi haujalamilika maana yake amekamatwa bila uhakika
Pengine ungekamilika asingeweza kukamatwa au angekamatwa na kufikishwa mahakamani

Kila siku nawanasahi Polisi wasimamie utii wa sheria, wasiingie katika mambo yanayowatia lawamani pengine yakiwa na 'motives' zingine zisizojulikana

Kwa wale wenzetu wanaouliza kwanini kuna sintofahamu hadi chuki kati ya walinzi wetu wa amani na sehemu ya jamii, hili si swali mnalopaswa kuuliza. Haliwahusu kabisa

Ni swali ambalo Polisi wanapaswa kujiuliza na kutafuta majibu wenyewe
 
Kama kawaida, jeshi la Polisi 'linajitwika' mambo mwisho wa siku watu wanauliza chuki inatoka wapi kati ya taasisi na jamii?

1. Kama lipo kosa au la, mkondo wa sheria ndio utakaoamua.
Hadi inapofika hapa kuna tuhuma na mtuhumiwa. Mtuhumiwa si mhalifu hadi itakapothibitika

2. Kamanda wa Polisi anasema Lissu anatumia kichaka cha Ubunge kufanya uhalifu
Kamanda, kazi ya Polisi ni kusimamia sheria bila kujali nafasi, wadhifa au hali ya mhusika
Suala la Ubunge halina mahusiano na uhalifu na silo alilokamatiwa

Kamanda, unaposema 'chaka la uhalifu' tayari umeshamhukumu Lissu kabla ya sheria
Kazi ya Polisi na mwendesha mashtaka ni kufikisha kesi mahakamani, akipatikana na hatia na kuhukumiwa ndipo uhalifu unapotajwa. Kwasasa ni mtuhumiwa hadi sheria itakaposema

3. Kumkamata mtu lazima kuwe na sababu. Ni jambo la kushangaza kumkamata mtu halafu zitafutwe sababu. Kusema upelelezi haujalamilika maana yake amekamatwa bila uhakika
Pengine ungekamilika asingeweza kukamatwa au angekamatwa na kufikishwa mahakamani

Kila siku nawanasahi Polisi wasimamie utii wa sheria, wasiingie katika mambo yanayowatia lawamani pengine yakiwa na 'motives' zingine zisizojulikana

Kwa wale wenzetu wanaouliza kwanini kuna sintofahamu hadi chuki kati ya walinzi wetu wa amani na sehemu ya jamii, hili si swali mnalopaswa kuuliza. Haliwahusu kabisa

Ni swali ambalo Polisi wanapaswa kujiuliza na kutafuta majibu wenyewe
Mkuu usicheze na maagizo toka juu. Inalazimu uweke akili pembeni sheria pembeni na hata katiba ujifanye haipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa nadhani unakaa ulaya,hivi hujazoea mawazo tofauti na kutofautiana tu..upo kama mtu ambayo hajawahi kusafiri au kuona ustaarabu mwingine au kufunguka akili....

Fungua akili yako ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kutofautiana ndo ninakokufanya mimi sasa.

Natofautiana na huyo mpumbavu Lissu na wapambe wake wa humu kuhusu madai yake ya nchi kuendeshwa kikanda na kikabila.

Sasa kuna kutofautiana zaidi ya hapo?

Si ajabu hata hukumaanisha kusema 'kutofautiana' lakini kwa vile huna akili na huna msamiati wa kutosha ndo maana umetumia hilo neno ambalo ndo linaelezea kwa ufasaha ninachokifanya hapa.

Teh teh teh....ujinga ni janga!
 
Tatizo lissu haijulikani anafanya yote hayo kwa maslahi ya kitu gani!!

Kama ni democrasia, lissu alitakiwa aanze kuhoji democrasia ya ndani ya chama chake kwanza, iweje mwenyekiti mbowe awe madarakani kwa miongo yote hiyo? Vp kuhusu Matumizi ya pesa za chama? Vipi kuhusu kumpokea lowassa ambaye waliimba ni fisadi? Vipi kuhusu kumpa ugombea wa uraisi mwanachama huyo(lowassa) wa wiki moja?
Utaratibu huu unafanywa na wanaharakati wengi sana, huanza kuhoji walipokaa kwanza, kina usafi? Turejee kwa Malema na ANC, Chacha Wangwe na CHAdema.... Na wengineo.

2. Lissu aseme yupo against na dunia nzima na watu wote wanaomuona magufuli anafanya haya yote kwa kutaka kuiokomboa nchi.
Toka JPM aingie, ameungwa mkono ktk move zake na watu mbalimbali kwasababu amekua akiyafanyia kazi yale ambayo kwa miongo mingi wapinzani wamekua wakiyapigia kelele. Mf. Tuneona jinsi aliyekua mbunge, mwanaharakati Kafulila, akimpongeza JPM kwa move yake ya kuifanyia kazi ishu ya escrow.

NINACHOKIONA MIMI
ninachokiona mimo ni kwamba, lissu ana kitu kinaitwa "political egoism" ambayo ameijenga juu ya "political trust" wananchi waliyoieeka kwake.

Lakini trust ya wananchi sasa inapotea dhidi ya kauli za lissu anazoendelea kuzitoa kila siku, ni wazi kwamba, hata ukifuatilia mitandao ya kijamii, wananchi wengie wamepoteza imani na lissu kwasababu wameshamuona lissu amekua "political ignorant"!!

Hii anayoicheza lissu ni kamali, tena kamali kubwa sana. Lissu anasahau kua mbali na vyama vya siasa nchi ina misingi yake.

Lissu ananikumbusha kauli za morgan tswangiray kule Zimbabwe aliposimama akasema anaunga mkono ushoga na kwamba akichukua madaraka atatudisha ardhi kwa wazungu walionyangaywa na mugabe, ili apate huruma ya wazungu, akisahau kwamba waafrika wanabaki waafrika bila kujali wapo kwenye hali gani...

Kilichomkuta mpinzani huyo wa zimbabwe, ule ndio ukawa mwisho wa siasa zake za upinzani kule zimbabwe.

Kwa hiyo namuona lissu anapoendelea kutoa kauli zake hizi ataishiwa kuchukukiwa na wananchi na vile vile kuendelea kupata kibano kutoka kwa serikali ambayo ni ya mabavu.

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanazidi kuumbuka " if you look at magufuli speech kila siku anaongea same shit if u look at polisi kila siku wanafanya same vioja if u look at those idiots supporting huu ukandamizaji njaa zinaongezeka" tanzania is a loosing nation na i pray for the worse ili akili ziwakae sawa.
.....in short your the whole shit !
 
Back
Top Bottom