Polisi: Lissu hatoki

Polisi: Lissu hatoki

ni vyema akasema anachotaka! anataka kugombea 2020 au ni nini? ni kama vile anatumika na watu fulani kinyume na maslai ya watanzania
asidanganyike na comments za watu wachache humu jf, mtaani watu hawamuelewi especially hio speech yake ya mwisho
Kama hasemi kweli dawa ni kumkanusha kwa vielelezo. Mengine yoyote ni porojo.
 
CCM, polisi na wajinga wajinga kama nyie kumchangia mtu mmoja ni kujiita Vidume? Yaani kumbambikia kesi kuwakomoa ni ujanja huko CCM? Malipo ni hapa hapa Duniani.
Wajinga niwale wano Shabikia Ujinga wa Mjinga
hasa wewe
 
Le mutuz na kikundi chake kwa maekezo ya Bashite Maliyamungu boss wao wametengeneza maji na chakula wakaweka Dawa za kulevya ndani wakapeleka rumande ili Lisu apewe ale anywe maji kisha apelekwe kwa mkemia mkuu apimwe akutwe na unga kwenye mkojo wapate kumbambikia kesi ya unga, wanasaka mbinu mbalimbali za kumkomoa Lisu kwa bahati nzuri wapanga njama mbaya ni wajinga wajinga boss wao hana vyeti na mtejelezaji wa njama ni kubwa jinga ndiyo maana njama zao zimejulikana mapema, ni wakati wanachama wa chadema kuhakikisha Lisu anakula chakula salama na live pindi akipelekewa kwani njama za kumlisha Slow poison nazo zimepamba moto sana.
 
Akitoka huko mtatamani angebaki!
Eti aligoma kutoa mkojo, wangetaka hata mavi angetoa...
 
Siku hizi ukitoa maoni tofauti wewe in mchochezi, Hivi sasa kuna kampeni ya yule mwanadamu abakie nafasi ile, Waanzilishi wa kampeni ile hadi sasa hawajakamatwa kwa kuchochea yule mwanadamu abakie nafasi ile, Na ikitokea na wewe ukaanzisha kampeni ya yule mwanadamu aondoke haraka kwenye nafasi ile nakuhakikishia siku hiyo hiyo utadakwa na utaitwa mchochezi!!! UNAFIKI ni kitu kibaya sana.UNAFIKI haukuwahi kumuacha MTU salama kwenye ile Nchi ya Tumaini hewa.
Ni vyema vyeti vya polisi wote wanaotumika kuwabambikia kesi chadema vichunguzwe hata huyo mkondya wachunguze vyeti vyake maana huko kujipendekeza kumepitiliza sasa
 
Akitoka huko mtatamani angebaki!
Eti aligoma kutoa mkojo, wangetaka hata mavi angetoa...
Mungu yupo usidhani Duwa lako la kuku litampata mwewe Roho mbaya unadhani hutakufa wewe, umeweka dawa za kulevya kwenye maji na chakula kumpelekea Lisu unadhani Mungu hajakuona? Watanzania wanajua njama zako zote na malipo ni hapa hapa Duniani.
 
tundu lissu naweza kumtetea alitumia Uhuru binafsi ila kubenea hana utetezi alichochea vurugu za cut wakati si mwanachama
 
Kama kuna watu wamesahaulika nchi hii ni ma-IGP waliopita!! Walitumika utumishi uliotukuka walipoondoka baada ya visu vya CUF, Mazombi, Mwembechai, Arusha nk. Hata ubunge wala uenyekiti wa mtaa hawakufaa!!
CHEO NI DHAMANA
 
tundu lissu naweza kumtetea alitumia Uhuru binafsi ila kubenea hana utetezi alichochea vurugu za cut wakati si mwanachama
Lisu wanajua kuwa ni Uonevu ndiyo maana Bashite Maliyamungu kaamua kumwekea Dawa za kulevya kwenye maji na chakula ili wakampime mkojo wakute unga wambambikie kesi feki ya unga.
 
Kama kuna watu wamesahaulika nchi hii ni ma-IGP waliopita!! Walitumika utumishi uliotukuka walipoondoka baada ya visu vya CUF, Mazombi, Mwembechai, Arusha nk. Hata ubunge wala uenyekiti wa mtaa hawakufaa!!
CHEO NI DHAMANA
IGP aliyetenguliwa juzi juzi alikuwa na msimamo aligoma kuwabambikia kesi Wapinzani ndiyo maana Mtukufu malaika wa chato kamweka pembeni nadhani yy mungu atamsaidia kuishi pasipo ufukara.
 
IGP aliyetenguliwa juzi juzi alikuwa na msimamo aligoma kuwabambikia kesi Wapinzani ndiyo maana Mtukufu malaika wa chato kamweka pembeni nadhani yy mungu atamsaidia kuishi pasipo ufukara.
Swali: Kwani huyu anamzidi yule mzee Ngunguri?
 
Back
Top Bottom