Polisi: Lissu hatoki

Polisi: Lissu hatoki

Nasi tunaendelea na maombi ili aendelee kukataa kupima mkojo ili waendelee kumshikilia mpaka atakapokubali...Mkondya shikilia hapo hapo,huyo jamaa anachafua hali ya hewa mtaani.
Mkondya hana vyeti sasa anatumia mgongo wa Lisu kusaka chcheo cha kamanda wa kanda maalum ya Dsm atambue kuwa ICC inakuja na yy atakuwa mshitakiwa namba moja.
 
Wapumbavu wengi wanafikiri kila lenye mwanzo huwa linaendelea,joto la kumuogopa malaika kama alivyotaka sasa linaisha,mijinga inaunga mkono dhuluma,ukandamizaji na kuminya haki kwa dhana ya kikabila tu,hata kama ni upuuzi.
 
Haujielewi. The worst will be upon you
Shame on you



Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli the worst is upon me but not me alone 55mil tanzanians for just having jpm as a president....haijawahi kutokea 50+ yrs ya ccm madarakani president kuwa dereva wa lori anaendesha anavotaka oops someone plz tell dereva wa lori nnchi inakatiba na sheria lori alipaki kwanza afanye kazi kulingana na job description " kulinda na kuitetea katiba ya jamuhuri ya muungano.
 
Nani kamtolea Mwalimu lugha za kughafirisha wewe!? Acha kukurupuka na kuandika pumba kama huna evidence. Na Mlopokaji ni mdudu gani?
Uanasheria wake anautumia vibaya
Why?
Anachopigania ni nin haswa?
Kutumia lugha za kukejeli kwa taasisi ya raisi kisa tu anajua akienda mahamamani atashinda kesi.
Ni sawa na wew kwenye familia kuwe na watoto wanakudharau kwa kukukebehi kisa tu hujawazaa wew.
TUNDU ANATAFUTA VERY CHEAP POPULARITY, ni bora nchi ya kidikteta kuliko uhuru uliopitiliza
You have a right to speech but I no guarantee to you right after speech.
Chuma up to 2025

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam Ms. Lincoln huwezi ukanyima haki za watu walio katika nchi huru milele. Ni ZERO BRAINS tu ndiyo wanaweza kukubali haki zao za kikatiba zidhulumiwe na chama cha wahuni na mafisadi.
Nadhani wanataka wachukue mkojo wake wa kutosha
 
Hata watawala wa kipindi kile walipi maliza kumnyanyasa Yesu na kumzika waliweka jiwe kubwa sana juu ya kaburi lake, pia waliweka na walinzi ili asitokee wa kuiba mwili wa Kristo yesu, lakini muda ulipo fika mbi gu zilifunguka, na walinzi wakaona kishindo kikuu na Kristo alitoka kaburini akawaachia shimo. Hivyo itakavyo kuwa kwa wanaojaribu kukandamiza haki kwa sababu ya mamlaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Usifanishe mambo ya DINI na ujinga anaofanya huyu anayejiita mwanasheria wenu uchwara asiyejua kupembua la kuongea na wananchi. Kubwabwaja kama yuko kijiweni. Mtu mmoja huwezi kuleta sintofaham kwa taifa lenye watu takriban 50mil

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapumbavu wengi wanafikiri kila lenye mwanzo huwa linaendelea,joto la kumuogopa malaika kama alivyotaka sasa linaisha,mijinga inaunga mkono dhuluma,ukandamizaji na kuminya haki kwa dhana ya kikabila tu,hata kama ni upuuzi.
Dhuluma gan inayominywa?
Ukandamizaji UPI?
Demokrasia mnaitumia vibaya na kupandikiza uhasama kwa watanzania.
Learn!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polisi watakua wajinga sana kama watakua wamemshikilia tu bila kumpa kichapo cha haja huyo mwehu, dawa ya huyu kichaa aliekata kamba ni kumchapa makalioni sehem ambapo hawezi kuwaonyesha wanahabari wapige picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kaiba haitoi haki ya kuzungumza?haitoi haki ya kuandamana?haitoi haki ya dhamana?haizungumzii kupeleleza kabla ya kukamata?
Kuminya haya yote ni nini kwa lugha ya kawaida?
 
Back
Top Bottom