The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,443
Peace upon you all.
Awali ya yote niwapongeze askari wetu kwa majukumu yao ya kulinda amani tunayoogelea kwayo. Wengine hapa watawasema kwa madhaifu yao kadha wa kadha lakini tafadhali hebu leo tusiwaseme kwanza kila mtu ana madhaifu fulani.
ok, back to the topic wakati fulani nikiwa mkoa wa Morogoro katika shughuli fulani nikiwa mtaani nilishtushwa sana baada ya kuona kundi la watu kama watano wote wakiwa na bunduki na wamevaa kiraia tu jeans na mashati ya kawaida.
kipindi hicho ni wakati ule hapo Kenya wapiganaji wa Al shabab walivadia West Gate na kuua watu wengi. Sasa ghalfa kuona raia wana bunduki mitaani nikachukua taadhari kwa kurudi ndani ya ofiri niliyokua napata huduma fulani, badae ndio naambiwa wale ni askari polisi.
Wakati fulani nikiwa Bukoba nilikwenda kituo cha polisi kwa ajili ya kuonana na cyber crime officer ili kureport wizi wa laptop na simu (usiende kuriport wizi wa simu jamaa watakuzungusha na simu wataichukua wao na huyo mwizi watamnyofa hela kama watakavyokunyofoa wewe)
Ebo !, kufika kituoni zaidi za 90% ya askari polisi mamevaa kiraia tu na shughuli zinaendelea tu. Ok kwa hapa unameza kusema wako kituoni je wakima uraiani tena wana silaha kabisa si mkanganyiko unameza kutokea.
Jana hapa mtaani viunga vya Butimba the rock city Mwanza kwa kina Fid Q nimeona askari polisi (nilijulisha baadae) mmoja akiwa kavaa kiraia na ana bunduki SMG anakatiza mtaani.
Je hii kikanuni ipoje ? Ni sawa au na kama ni sawa askari wetu kuvaa kiraia ili hali wana silaha na wako mitaani je haiwezi kuleta mkanganyiko kama majambazi wakiamua kujichanganya wakidijai askari, au je raia hawawezi kumdhania askari ni jambazi na kumshambubjia (usiseme anakua na kitambulisho, katika taharuki hakunaga muda wa kutoleana vitambulisho)
Mtu mwingine asiseme ati ni askari mpelelezi,(CID) ndio maana havai uniform hii hoja ya kindezi sana kama ni askari mpelelezi bunduki ya nini si ndio anajienpose na huo upelelezi atampeleleza nani na bunduki yake ?!
Wajuzi au hata askari wetu naomba mnijulishe juu ya jambo hili la kutembea na kunduki mitaani huku mmevaa kiraia, je usalama wenu unazingatiwa kiasi gani na je majambazi hawawezi kupaste wakajifanya wanausalama ikawa shida, na je kanuni za jeshi zinatoa muongozo upi kwa jambo hili.
Picha haiusiani na tukio la askari niliemuona ila inashabiana.
Awali ya yote niwapongeze askari wetu kwa majukumu yao ya kulinda amani tunayoogelea kwayo. Wengine hapa watawasema kwa madhaifu yao kadha wa kadha lakini tafadhali hebu leo tusiwaseme kwanza kila mtu ana madhaifu fulani.
ok, back to the topic wakati fulani nikiwa mkoa wa Morogoro katika shughuli fulani nikiwa mtaani nilishtushwa sana baada ya kuona kundi la watu kama watano wote wakiwa na bunduki na wamevaa kiraia tu jeans na mashati ya kawaida.
kipindi hicho ni wakati ule hapo Kenya wapiganaji wa Al shabab walivadia West Gate na kuua watu wengi. Sasa ghalfa kuona raia wana bunduki mitaani nikachukua taadhari kwa kurudi ndani ya ofiri niliyokua napata huduma fulani, badae ndio naambiwa wale ni askari polisi.
Wakati fulani nikiwa Bukoba nilikwenda kituo cha polisi kwa ajili ya kuonana na cyber crime officer ili kureport wizi wa laptop na simu (usiende kuriport wizi wa simu jamaa watakuzungusha na simu wataichukua wao na huyo mwizi watamnyofa hela kama watakavyokunyofoa wewe)
Ebo !, kufika kituoni zaidi za 90% ya askari polisi mamevaa kiraia tu na shughuli zinaendelea tu. Ok kwa hapa unameza kusema wako kituoni je wakima uraiani tena wana silaha kabisa si mkanganyiko unameza kutokea.
Jana hapa mtaani viunga vya Butimba the rock city Mwanza kwa kina Fid Q nimeona askari polisi (nilijulisha baadae) mmoja akiwa kavaa kiraia na ana bunduki SMG anakatiza mtaani.
Je hii kikanuni ipoje ? Ni sawa au na kama ni sawa askari wetu kuvaa kiraia ili hali wana silaha na wako mitaani je haiwezi kuleta mkanganyiko kama majambazi wakiamua kujichanganya wakidijai askari, au je raia hawawezi kumdhania askari ni jambazi na kumshambubjia (usiseme anakua na kitambulisho, katika taharuki hakunaga muda wa kutoleana vitambulisho)
Mtu mwingine asiseme ati ni askari mpelelezi,(CID) ndio maana havai uniform hii hoja ya kindezi sana kama ni askari mpelelezi bunduki ya nini si ndio anajienpose na huo upelelezi atampeleleza nani na bunduki yake ?!
Wajuzi au hata askari wetu naomba mnijulishe juu ya jambo hili la kutembea na kunduki mitaani huku mmevaa kiraia, je usalama wenu unazingatiwa kiasi gani na je majambazi hawawezi kupaste wakajifanya wanausalama ikawa shida, na je kanuni za jeshi zinatoa muongozo upi kwa jambo hili.
Picha haiusiani na tukio la askari niliemuona ila inashabiana.