Mtu anapofanya jambo la kijinga halafu ukamueleza lakini akatumia njia ileile ya kijinga kusahihisha kosa lilelile utamuitaje au kumuweka kundi lipi mkuu?
Kuna jina Prof. Assad aliwahi kupendekeza
Mtu anapofanya jambo la kijinga halafu ukamueleza lakini akatumia njia ileile ya kijinga kusahihisha kosa lilelile utamuitaje au kumuweka kundi lipi mkuu?
Waendelee kuchokoza tu Mambo.Watatajwa mmojammoja hadi waanze kulialia mahakamani.Kama hawajatenda uhalifu watulie na kufuatilia mambo kwa weledi.PoliCCM watulie dawa iwaingie vizuri.
Jeshi hili lisiendeleze udhalimu kwa kumfurahisha mtu mmoja.JESHI LA POLISI KANDA MAALUMU YA DAR ES SALAAM LIMEAGIZA KUANZA KUHOJIWA KWA ASKOFU MWINGIRA.
Jeshi la Polisi kanda Maalumu ya Dar es salaam limeagiza ndani ya saa 24 kuanza kuhojiwa kwa Askofu wa kanisa la Efatha Josephat Elias Mwingira juu ya tuhuma mbalimbali alizozitoa dhidi ya Serikali ikiwemo njama za Maofisa wa Serikali kutaka kumuua.
Jeshi la Polisi limefikia hatua hiyo baada ya kufuatilia kwa karibu kauli zinazodaiwa kutolewa na Askofu huyo na kuona kuwa zinajenga hofu na chuki kwa wananchi dhidi ya Serikali yao.
Kwa uzito wa mambo yanayodaiwa kutolewa na Askofu huyo ni lazima apatikane haraka iwezekananavyo na ahojiwe kwa kina juu ya kila kipengele ambacho Jeshi linaona kuna viashiria vya vigezo vya kijinai.
Jeshi la Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam linatoa tahadhari kuwa halita sita kumkamata na kumuhoji mtu yeyote ambaye anatumia vibaya Uhuru wa maoni ya kikatiba, na kuwakumbusha wananchi kuwa uhuru huo lazima uzingatie Sheria za Nchi na usikiuke haki na uhuru uliowekwa kwa mujibu wa Sheria.
MULIRO JUMANNE MULIRO– ACP KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAM.
Hahahaaa!
Mbona Zitto hakuhojiwa?
Tutasubiri matokeo ya mahojiano kama atafunguliwa kesi au wahusika watakamatwa au tutafunika kombe Mwanaharamu apite
Dah keyboard warrior mnavo mpa bichwa huyo mwingira utafikiria mtaenda kuhojiwa wote hasa akiambiwa atoe ushahidi, I think mashabiki maandazi wa mtandaoni hamjawahi hojiwa na mapolice walio serious na kazi.Ajisalimishe kwa uhalifu gani alioufanya? Kamanda Murilo tafuta maneno sahihi ya kutumia maana unaweza ongea kishujaa alaf mbele ya safari ukaja kuonekana kituko kwa watu ikiwemo familia yako
Kwanini askari huwa hawana kauli za busara na zenye kuonesha wanatumia akili, yaani ni mwendo wa kubwatuka kama uharo, sijui wana shida gani.Hii ni Taarifa iliyotolewa na Jumanne Murilo ambaye ni Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam .
Kamanda ameagiza Polisi kumtafuta popote alipo na kumleta kanda maalum kwa mahojiano , kwa tafsiri ya kiswahili tangazo hili la Kamanda ni AGIZO LA KUMKAMATA Askofu Mwingira .
====
JESHI LA POLISI KANDA MAALUMU YA DAR ES SALAAM LIMEAGIZA KUANZA KUHOJIWA KWA ASKOFU MWINGIRA.
Jeshi la Polisi kanda Maalumu ya Dar es salaam limeagiza ndani ya saa 24 kuanza kuhojiwa kwa Askofu wa kanisa la Efatha Josephat Elias Mwingira juu ya tuhuma mbalimbali alizozitoa dhidi ya Serikali ikiwemo njama za Maofisa wa Serikali kutaka kumuua.
Jeshi la Polisi limefikia hatua hiyo baada ya kufuatilia kwa karibu kauli zinazodaiwa kutolewa na Askofu huyo na kuona kuwa zinajenga hofu na chuki kwa wananchi dhidi ya Serikali yao.
Kwa uzito wa mambo yanayodaiwa kutolewa na Askofu huyo ni lazima apatikane haraka iwezekananavyo na ahojiwe kwa kina juu ya kila kipengele ambacho Jeshi linaona kuna viashiria vya vigezo vya kijinai.
Jeshi la Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam linatoa tahadhari kuwa halita sita kumkamata na kumuhoji mtu yeyote ambaye anatumia vibaya Uhuru wa maoni ya kikatiba, na kuwakumbusha wananchi kuwa uhuru huo lazima uzingatie Sheria za Nchi na usikiuke haki na uhuru uliowekwa kwa mujibu wa Sheria.
MULIRO JUMANNE MULIRO– ACP KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM DAR ES SALAM.
Pia soma:
Thread 'Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali' Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali
alibadili gear angani na kuanza kusifia baada ya kuambiwa aonyeshe kaburi la Babu wa Babu huko KigomaNakumbuka kuna Kipindi Askofu Kakobe naye alikuwa kidume hivi hivi.
Hata sijui alipatwa na nini akawa alivyo leo.
Wanaochaguliwa kwenye upolisi mbona elimu yao aliweka wazi SimbachaweneKwanini askari huwa hawana kauli za busara na zenye kuonesha wanatumia akili, yaani ni mwendo wa kubwatuka kama uharo, sijui wana shida gani.
Hawa washenzi tu, ndio wanazidi kupoteza nguvu taratibu kadri ukweli unavyoanikwa mbwa hao,Yataisha - walishahojiwa akina Kilaini, Kakobe, Shoo, Gwajima, Niwemugizi, Karagwe, nk nk
Murilo naye ameaagizwa na Simbachawene.Ajisalimishe kwa uhalifu gani alioufanya? Kamanda Murilo tafuta maneno sahihi ya kutumia maana unaweza ongea kishujaa alaf mbele ya safari ukaja kuonekana kituko kwa watu ikiwemo familia yako
Jumanne, Kingai na Mahita?!Dah keyboard warrior mnavo mpa bichwa huyo mwingira utafikiria mtaenda kuhojiwa wote hasa akiambiwa atoe ushahidi, I think mashabiki maandazi wa mtandaoni hamjawahi hojiwa na mapolice walio serious na kazi.
Jumanne, Kingai na Mahita?!