Kama alisha-report ni vema..aende akafafanue hayo huko polisi...siyo mtu anaropokaropoka Mambo ya hatari na kuachwa hivi hivi...awataje hao watu wa serikali waliotaka kumuua...awataje waliomuua mwanamke aliyemtaja huko Rombo hoteli...ataje hizo Mali za Bilioni kumi alizipataje...ataje Kama ni Mali zake au za kanisa...afafanue kuhusu tuhuma dhidi yake za kufarakisha ndoa za watu...Usikute alishwai report aya yote wakayapotezea