Katka ule mwendelezo wa jeshi la polisi kujichukulia sheria mkononi na kuua raia hovyo, leo 2/7/2013 majira ya saa 3 asubui katika maeneo ya Ungalimited uswahilini polisi walifika katika nyumba moja nakumkuta kijana mmoja anae julikana kwa jina la Remblis na kumpiga risasi na kudai heti alikua ni mwizi.
Swali la kujiuliza kama kijana huyo alikua ni mwizi kwanini wasimkamate nakumfikisha mahakamani, je nisheria ipi inayo mruhusu polisi kumuu raia kwa sababu ya tuhuma za wizi?
Sasa naomba wale wapenda haki wote wa jiji la Arusha pamoja na Mh Lema kulifuatilia suala hili ili kujua ni kwanini polisi wameamua kuua raia kinyama.
MPAKA MUDA HUU MAITI YA KIJANA HUYO IKO KATKA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI KTK HOSPITALI YA MT MERU.
Swali la kujiuliza kama kijana huyo alikua ni mwizi kwanini wasimkamate nakumfikisha mahakamani, je nisheria ipi inayo mruhusu polisi kumuu raia kwa sababu ya tuhuma za wizi?
Sasa naomba wale wapenda haki wote wa jiji la Arusha pamoja na Mh Lema kulifuatilia suala hili ili kujua ni kwanini polisi wameamua kuua raia kinyama.
MPAKA MUDA HUU MAITI YA KIJANA HUYO IKO KATKA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI KTK HOSPITALI YA MT MERU.