Polisi Arusha wampiga risasi raia mmoja na kufa hapohapo

Polisi Arusha wampiga risasi raia mmoja na kufa hapohapo

Muwe mnatuletea na evidence na tulioko mbali tupate full news hvhv tunajua ni propaganda za ....
 
Safi sana polisi kama ni mwizi hakuna msamaha ukiona unatetea mwizi na wewe ni mwizi.
 
hii sio propaganda wala sio habar ya kisiasa ni habar ya kweli na inahusisha kupotea kwa uhai wa m2,leo kwamwenzio kesho kwako

ujambazi wa arusha unakela sana mimi nawapongeza polisi hakuna haja ya mahakamani wakipelekwa mahakamani wanatoa rushwa wanarudi kuendelea kuiba tena safi sana polisi.
 
Kuna mazingira yanayohalalisha matumizi ya silaha hasa za moto.
1. Kama àdui anatumia silaha ya moto au inayoweza kusababisha kifo. Mfano mishale.
2. Kama àdui anaimiliki isivyohalali naàmegoma kuisurrenda.
3. Kama àdui anatishia usalama wa watu wengine.
hata hivyo, polisi anatakiwaàfanye jitihada za kumkamata àkiwa hai, na ikitokea àkafa sàbabu hizo na nyingine zitàzingatiwa, na ikibainika hakukuwa na ulazima wa matumizi ya nguvu/silaha, askari atashtakiwa kama watu wengine, hii ni kwa mjibu wa Criminal Procedure Act(CPA). Nawashauri ndugu jamaa na rafiki wapenda haki, kufuata sheria ili kuleta uwajibikaji ktk jamii, wansheria saidieni hlo.
 
Humo nilimoweka red.
Kwanza umereport(umewasilisha)kishabiki pengine labda umehadithiwa.

Pia ni kweli kabisa maeneo ya unga limited ni makazi ya waharifu mpaka kule mitaa ya shule ya msingi sinoni.

Nilishawahi kunyang'anyway simu maeneo hayo.

Tukio la kupigwa risasi ni la police katika kujihami mara baada ya mtuhumiwa kutaka kupambana na police.

Alitakiwa kutii bila shuruti na siyo kuleta ubaunsa wake kwa kurusha ngumi na kisu kwa police.

Kwahiyo adhabu ya risasi ni kwamba haki imetendeka
.
Nilidhani nawe hautawakilisha kishabiki. Je una uhakika gani kua alieuawa ni jambazi, umejuaje kama mtuhumiwa alikua na slaha. Ni mara ngapi makosa ya aina hii yameshawahi kutokea na kubainika kua mtuhumiwa alikua innocent . Nimeshangazwa na hapo nilipobold. Je umejuaje kua haki imetendeka kwanini usiwe neutral maana hakuna uhakika kama je kweli taarifa hii ni ya kweli au la.
 
katka ule mwendelezo wa jesh la polis kujichukulia sheria mkononi na kuua raia hovyo, leo 2/7/2013 majira ya saa 3 asubui katika maeneo ya Ungalimited uswahilini polisi walifika katika nyumba moja nakumkuta kijana mmoja anae julikana kwa jina la Remblis na kumpga risas na kudai heti alikua ni mwizi, swali lakujiuliza kama kijana huyo alikua ni mwizi kwanini wasimkamate nakumfikisha mahakamani, je nisheria ipi inayo mruhusu polisi kumuu raia kwa sababu ya tuhuma za wizi? Sasa naomba wale wapenda haki wote wa jiji la Arusha pamoja na Mh Lema kulifuatilia suala hili ili kujua ni kwanin polis wameamua kuua raia kinyama, MPAKA MUDA HUU MAITI YA KIJANA HUYO IKO KATKA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAIT KTK HOSPTL YA MT MERU.

haa Obama sikaondoka sasa wanaendeleza kipondo tu si ndo tulipokuwepo obama alipokuja wakasubir aondoke ila mwisho upo
 
Hebu tutulieni tena Watanzania, sisi ni Taifa la kistaarabu, hii midadi ghafla ya kushambuliana kila kona imeletwa na nani?
 
Humo nilimoweka red.
Kwanza use reported(umewasilisha)kishabiki pengine labda umehadithiwa.

Pia ni kweli kabisa maeneo ya unga limited ni makazi ya waharifu mpaka kule mitaa ya shule ya msingi sinoni.

Nilishawahi kunyang'anyway simu maeneo hayo.

Tukio la kupigwa risasi ni la police katika kujihami mara baada ya mtuhumiwa kutaka kupambana na police.

Alitakiwa kutii bila shuruti na siyo kuleta ubaunsa wake kwa kurusha ngumi na kisu kwa police.

Kwahiyo adhabu ya risasi ni kwamba haki imetendeka.
Una shida wewe
 
katka ule mwendelezo wa jesh la polis kujichukulia sheria mkononi na kuua raia hovyo, leo 2/7/2013 majira ya saa 3 asubui katika maeneo ya Ungalimited uswahilini polisi walifika katika nyumba moja nakumkuta kijana mmoja anae julikana kwa jina la Remblis na kumpga risas na kudai heti alikua ni mwizi, swali lakujiuliza kama kijana huyo alikua ni mwizi kwanini wasimkamate nakumfikisha mahakamani, je nisheria ipi inayo mruhusu polisi kumuu raia kwa sababu ya tuhuma za wizi? Sasa naomba wale wapenda haki wote wa jiji la Arusha pamoja na Mh Lema kulifuatilia suala hili ili kujua ni kwanin polis wameamua kuua raia kinyama, MPAKA MUDA HUU MAITI YA KIJANA HUYO IKO KATKA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAIT KTK HOSPTL YA MT MERU.
wananchi tunaoishi Arusha tutapata nafuu kidogo baada ya uchaguzi wa tarehe 14/7/2013 tena kama madiwani wote watachaguliwa kutoka chadema na nafuu kwa watanzania wote ni mwaka 2015 kama chadema kitaongoza serikali vinginevyo tutaendelea kuteseka ingawa kwa sasa hivi utakuja kusikia kwamba Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kwa utajiri Africa
 
Humo nilimoweka red.
Kwanza umereport(umewasilisha)kishabiki pengine labda umehadithiwa.

Pia ni kweli kabisa maeneo ya unga limited ni makazi ya waharifu mpaka kule mitaa ya shule ya msingi sinoni.

Nilishawahi kunyang'anyway simu maeneo hayo.

Tukio la kupigwa risasi ni la police katika kujihami mara baada ya mtuhumiwa kutaka kupambana na police.

Alitakiwa kutii bila shuruti na siyo kuleta ubaunsa wake kwa kurusha ngumi na kisu kwa police.

Kwahiyo adhabu ya risasi ni kwamba haki imetendeka.

Wewe ulikuwa eneo la tukio?

Umejuaje kwamba polisi alikuwa akijihami?

Una maana Polisi kujihami ni lazima auwe?

Acha kutetea wauwaji kwani haitakusaidia cho chote!
 
Humo nilimoweka red.
Kwanza umereport(umewasilisha)kishabiki pengine labda umehadithiwa.

Pia ni kweli kabisa maeneo ya unga limited ni makazi ya waharifu mpaka kule mitaa ya shule ya msingi sinoni.

Nilishawahi kunyang'anyway simu maeneo hayo.

Tukio la kupigwa risasi ni la police katika kujihami mara baada ya mtuhumiwa kutaka kupambana na police.

Alitakiwa kutii bila shuruti na siyo kuleta ubaunsa wake kwa kurusha ngumi na kisu kwa police.

Kwahiyo adhabu ya risasi ni kwamba haki imetendeka.

Nawewe umejibu kishabiki, uliibiwa sim kifala alafu unalaumu ungalimited kuna wezi, niambie Arusha sehemu gani ni salama? Kijenge hakufai unaibiwa hata viatu ulivyo vaa mguuni, esso unaibiwa vitu ndani ya gari huku gari linaenda, Njiro unaweza kwenda kazini kama hujaacha mtu nyumbani, ukija jioni nyumba utafikiri mmehama, wanabeba kila kitu, wanakuja na fuso kabisa, kijenge juu, mianzini mpaka sanawari mvua zikinyesha watu hawalali, wezi wanavunja mlango mmoja baada ya mwingine, ukipiga kelele hakuna anayesikia. sakina, ngaramtoni, kwamrombo, fidifosi kote kuna mambo. Sehemu afadhali ni makao mapya. Sowote kunawakati nako kulikuwa usalama mdogo mchana watu wakiwa makazini.
 
Rip si atujui tutakufa vipi mwaka 2015
 
Humo nilimoweka red.
Kwanza umereport(umewasilisha)kishabiki pengine labda umehadithiwa.

Pia ni kweli kabisa maeneo ya unga limited ni makazi ya waharifu mpaka kule mitaa ya shule ya msingi sinoni.

Nilishawahi kunyang'anyway simu maeneo hayo.

Tukio la kupigwa risasi ni la police katika kujihami mara baada ya mtuhumiwa kutaka kupambana na police.

Alitakiwa kutii bila shuruti na siyo kuleta ubaunsa wake kwa kurusha ngumi na kisu kwa police.

Kwahiyo adhabu ya risasi ni kwamba haki imetendeka.
UNASEMA Adhabu ya RISASI ni HAKI IMETENDEKA.Na kwa MUNGU aliyemuumba uyo aliyepigwa RISASI ukaseme hivihivi.Ila uwezi kuondoa Dhambi ya uuaji kwa uyo polisi.na Kitabu cha Kumbukumbu Mbinguni kimeshaandika kuwa uyo polisi ameua na asipotubu na kuacha ni MOTO WA JEHANAMU.imetupasa Tumtii MUNGU.
 
Mandieta we binadamu wa kawaida? Mkiendelea kushabikia mauaji haya kwa usisemu wenu ujue si muda mlefu mtakuwa'interahamwe'.

Mkuu;Nimefatilia wachangiaji wengi wa mada hii.CCM wengi wanamsapoti na kumpa haki Muuaji na KIMJAZACHO MTU MOYO NDIYO KIMTOKACHO.MUNGU AMESEMA USIUE Shetana anasema UA.Naona CCM wengi wasiomuheshimu na kumtii MUNGU wanamsapoti SHETANI kwa kukubaliana na Uuaji wanaofanya polisi wetu.
 
Humo nilimoweka red.
Kwanza umereport(umewasilisha)kishabiki pengine labda umehadithiwa.

Pia ni kweli kabisa maeneo ya unga limited ni makazi ya waharifu mpaka kule mitaa ya shule ya msingi sinoni.

Nilishawahi kunyang'anyway simu maeneo hayo.

Tukio la kupigwa risasi ni la police katika kujihami mara baada ya mtuhumiwa kutaka kupambana na police.

Alitakiwa kutii bila shuruti na siyo kuleta ubaunsa wake kwa kurusha ngumi na kisu kwa police.

Kwahiyo adhabu ya risasi ni kwamba haki imetendeka
.


Ndugu yangu humo nilimoweka RED, umeongea kiushabiki mno kuliko uhalisia wa mambo.


Nina maswali kadhaa ya kukuuliza:-

(1) Huyu kijana kupambana na askari, je alikuwa na silaha gani na hao askari walikuwa wangapi hata washindwe kumkamata kisheria.

(2) Je, mtuhumiwa anapaswa kuuawa au kukamatwa na kupelekwa mahakamani ili kama adhabu ya kifo ikahukumiwe na hakimu?

(3) Je, kuna umuhimu wowote wa kuwa na mahakama endapo polisi wanaweza kutekeleza kazi ya mahakama??


TAFAKARi........


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Back
Top Bottom