Clemence Baraka
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,693
- 652
Katka ule mwendelezo wa
jeshi la polisi kujichukulia sheria mkononi na kuua raia hovyo, leo
2/7/2013 majira ya saa 3 asubui katika maeneo ya Ungalimited uswahilini
polisi walifika katika nyumba moja nakumkuta kijana mmoja anae julikana
kwa jina la Remblis na kumpiga risasi na kudai heti alikua ni mwizi.
Swali la kujiuliza kama kijana huyo alikua ni mwizi kwanini wasimkamate
nakumfikisha mahakamani, je nisheria ipi inayo mruhusu polisi kumuu raia
kwa sababu ya tuhuma za wizi?
Sasa naomba wale wapenda haki wote wa jiji la Arusha pamoja na Mh Lema
kulifuatilia suala hili ili kujua ni kwanini polisi wameamua kuua raia
kinyama.
MPAKA MUDA HUU MAITI YA KIJANA HUYO IKO KATKA CHUMBA CHA KUHIFADHIA
MAITI KTK HOSPITALI YA MT MERU.
pengine alikua na silaha na katika kujibizana akawahiwa. tusubiri taarifa za upande mwingine.